Niliyoyashuhudia Jeshini

Emb acha kunikumbusha mateso ya jeshi🤣🤣🤣 ina episode ngapi? Duuh kumbe na wewe uliitwa kuruta?
 
Mbona waliwapa vitengo mapema hivyo? Me nakumbuka kwata ilikua after a month or so... kama sio 6 weeks! Me sikupenda viroba hata kidogo ila kambi yenu waliwakomesha ila labda wakawa sawa maana mm nilienda second batch nikakuta wameshapiga hilo doso la ufunguzi
 
Duuh uliyatimba, unadoji mda wa roll-call? Doji vyote ila sio hio. Kama ni kweli basi ulionja utamu wa jeshi😅 ulikuwa wa demo....
 
It was good ila umesimulia kwa ufupi na nime enjoy kukumbuka madoso na vitimbi vya jeshi
 
Yaani Service galz ndo walikuwa wanaongoza kwa kuumwa??
Nilikua sijakuelewa!
Kuruta wanaoumwa walikua wanaenda zahanati saa 11 alfajiri, saa 1 kila mtu anaenda kwenye kazi yake hamna kudoji
 
Course inakuaga 3months, ila mwaka wetu waliweka miezi miwili sababu kulikua na ishu ya kitaifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…