Niliyoyashuhudia Jeshini

MtU anakaa wiki 6 bila kuoga sanasana Ngorongoro
 
Mwanzoni nilidhani wewe ni mtu mzima kumbe mtoto wa elfu 2
Nan kasema mbona unanijaji? Mm mtu mzima bana huonagi post zangu? 🤣🤣 ww ndo mtoto nilijua sku ya kwanza kuona ujinga unaopost..
 
Wiki mwanamke hajaoga huko chini kuna hali gani? Ukiingia siku zako inakuwaje?
 
Very interesting story, kwa sisi ambao hatukuwahi kwenda inafurahisha kusoma.

Kuna jamaa alileta yake, eti siku hiyo akajikuta na mdada kwenye shimo au nini, wakapata nafasi ya kupunguziana, najiuliza hali hiyo mwili si umekufa ganzi kabisa.!
After six weeks unaweza kujarbu
Mimi kuna service girl alikua ananpiga sana mchinjo kwa mzabuni
Siku moja ziwani akanipa BABY KURUTI nijipimie
HASIRA ZA GADI NO 1
HASIRA ZA KUJILA KISA SERENGETI
nkazimwaga palee
 
Wiki mwanamke hajaoga huko chini kuna hali gani? Ukiingia siku zako inakuwaje?
Kama mtu ana asili ya usafi atafanya juu chini akaoge, unaomba hata kwenda chooni then unaoga chap ila usichelewe
 
After six weeks unaweza kujarbu
Mimi kuna service girl alikua ananpiga sana mchinjo kwa mzabuni
Siku moja ziwani akanipa BABY KURUTI nijipimie
HASIRA ZA GADI NO 1
HASIRA ZA KUJILA KISA SERENGETI
nkazimwaga palee
Kweli ugwadu hauchagui mazingira
 
Kama mtu ana asili ya usafi atafanya juu chini akaoge, unaomba hata kwenda chooni then unaoga chap ila usichelewe
Nataka kujua zike siku mwanamke anazoingia kwenye siku zake, yale maumivu ya tumbo, mgongo kuuma wengine wanaharisha ,wengine wanatapika, hizo siku za periodi unaruhusiwa kulala? Inakuwaje? Pad mnakuwa nazo? Unaweza kwenda kubadilisha atleast kila baada ya masaa mawili?
 
Kwa upande wangu huwa sipati maumivu hivyo kwenye kazi nilikua naenda nafanya kama kawaida,
Kama nilivyoelezea nilikutana na service girl mwenye jina kama langu tukapendana akawa ananisaidia hivyo nilikua namwambia, yeye alinisaidia nipangwe kazi za around kambi muda ukifika naenda kubadili chap.

Kwa wengine sijui walikua wanafanyaje sikuwahi kuona watu angani zaidi ya wawili wanaolinda, anga zilikua 4 hivyo kuruta 8 wanabaki kulinda, nahisi serengeti waliokua kwenye mwezi wao walikua wanaomba wabaki walinde anga.

Naamini kuna wengine walikua wanaomba ruhusa kwa bakabaka wa kike waende kubadilisha naamini walikua wanaruhusiwa japo sikuwahi kufatilia hilo

Kuhusu kuumwa halafu ulale angani hairuhusiwi, walikua wanasema beba jembe utaenda kulala shambani lakini ukifika huko shambani kazi ni mtindo mmoja

Kwa ufupi wanajeshi hawana roho mbaya kihiivyo kusema uombe ruhusa kwa sababu kama hiyo halafu akukazie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…