Wala hujakosea, natafuta kutoa na kupokea elimu.Kuna jambo ambalo walitafuta we we sio bure
Hapo ndipo unaponifurahisha. Unawachukulia taratiibu akina Suhendra na mtanashatiWala hujakosea, natafuta kutoa na kupokea elimu.
Kua na lugha ya ulimi (lisan) nyepesi kidogo, uzi wa kielimu huu.
Simba.
Anakufurahisha kwa kuwa nyote lengo lenu ni moja kupotosha watu
Upo huru na fikra zako.Anakufurahisha kwa kuwa nyote lengo lenu ni moja kupotosha watu
Ndugu yangu, naona ulikurupuka kaanze upya.Wala hujakosea, natafuta kutoa na kupokea elimu.
Kua na lugha ya ulimi (lisan) nyepesi kidogo, uzi wa kielimu huu.
Simba.
Hakika ila penye ukweli wasemwa haijalishi ya uma kiasi gani.Upo huru na fikra zako.
Umemsoma simba alichokujibu?
Ndugu, Naona bwana simba ameuliza maana ya Qareen hapo, Japo sio swali langu mimi nitajaribu kujibu kwa ninavyoelewa kama ilivyotajwa katika quran na hadith Arsis atafafanua vizuri natumai.Ahsante kwa maswali mazuri .. mimi bado Taalib ilmu ni mwanafunzi ..lakini katika uanafunzi wangu .. Bidaa kuijua hainitatizi.. mwanzoni mwa uzi wako ulimention kwamba babu yako anaagua na kwenda kuswali .. wewe mwenyewe ulilala pangoni kupewa mikoba ya uganga hapohapo unaotakidi ni swala tano ... Kwa ufupi mnafanya ushirikina na ibada .. ni kitu ambacho si sahihi kwa mafundisho ya wema waliotangulia....
Kuhusu Qareen hebu nijuze nini maana ya qareen as I told you earlier bado ni talib ilmu nipo tayari kujifunza elimu iliyo sahihi kwa misingi ya Mtume pamoja na maswahaba wake ...
Kuhusu Suleiman, ni kweli yeye alipewa mamlaka kutoka kwa Allah ambayo hakuna yoyote atakaye na aliyepewa baada ya yeye , kuna hadithi sahihi .. mtume aliwahi kupambana na jini na akawaambia maswahaba zake kwamba kama isingelikuwa kiapo ambacho Suleiman aliomba Allah kwamba asitokee mwingine baada yake mwenye uwezo kama wake basi yule Jini angemfunga kwenye kigogo ili watu waje wamshuhudie... Kiigizo chetu sisi ni Mtume na hakutaka kuwatumia wala kuwafuga majini kwanini wewe ufanye hivo?! Unless otherwise wewe ni mshirikina au mchawi au kafiri ..
Umeeleza vyama kabisa, mimi nitaongezea kidogo sana. Hususan hapo ulipotaja "shetani". Qur'an inatueleza mashetani ni katika majini na watu. Au sivyo?Ndugu, Naona bwana simba ameuliza maana ya Qareen hapo, Japo sio swali langu mimi nitajaribu kujibu kwa ninavyoelewa kama ilivyotajwa katika quran na hadith Arsis atafafanua vizuri natumai.
KILUGHA: Neno "qareen" (قرين) ni masdar ya neno "qarana" (قرن), ambalo lina maana ya "kuunganishwa" au "kushirikishwa."
Hivyo katika lugha ya Kiarabu "qareen" inamaanisha "mwandamizi" au "mshirika."
Mpaka hapa utapata swali je ni mshirika wa nini?
Sasa tuje katika Qur an ukisoma katika surat Zukhruf sura ya 43 aya ya 36 utaona ametajwa qareen inasema:-
وَمَن يَعۡشُ عَن ذِكۡرِ ٱلرَّحۡمَٰنِ نُقَيِّضۡ لَهُۥ شَيۡطَٰنٗا فَهُوَ لَهُۥ قَرِينٞ
If anyone withdraws himself from remembrance of (Allah) Most Gracious, We appoint for him an evil one, to be an intimate companion to him.
Katika aya hii utaona sheikh Yusuph Ali ametarjama kwa tutumia neno companion kumaanisha qareen lakini pia Sahihi International nao wametumia neno hilohilo companion, mpaka hapa utaona neno qareen linasimama kama mshirika au mwenza.
Katika aya hiyo Allah anasema ambaye ataacha kumkumbuka yaani kukumbuka rehma zake atateuliwa shetani ambaye atakuwa ni qareen(mshirika) kwake.
Katika hadithi pia qareen katajwa katika hadithi hii:-
عَنْ ابْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللَّـهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّـهِ صَلَّى اللَّـهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: "كُلُّ إِنْسَانٍ مُعَلَّقٌ بِقَرِينِهِ". قَالُوا: وَأَنتَ يَا رَسُولَ اللَّـهِ؟ قَالَ: "نَعَمْ، وَلَكِنَّ اللَّـهَ أَعَانَنِي عَلَيْهِ فَأَسْلَمَ."
Imepokewa kutoka kwa ibn masood amesema , Mtume amesema"Kila mtu ameunganishwa na qareen wake." Wakauliza: "Na wewe, Ewe Mtume wa Allah?" Akasema: "Ndio, lakini Allah amenisaidia dhidi yake, wa kwangu amesilimu.
Hivyo kulingana na maelezo hayo naweza sema kuwa :-
Qareen ni mshirika wa mtu kiroho ambaye anaweza kuwa sababu ya mtu kufanya madhambi wengi katika wanazuoni wanasema mshirika huyo ni katika majini hivyo,mwanadamu anatakiwa kumtegemea Allah ili amkinge na ushawishi wa jini huyu.
Umeniuliza kuhusu qareen kama sijakosea nimekwambia Sijui.. hebu nielekeze lakini kwa misingi sahihi ya quran na sunna .. mengine nimekujibu .. ibada na ufugaji wa majini ni ushirikina... Kuagua kwa kutumia majini Mtume wetu hakuwahi kufanya na yeye kama kiigizo chetu kama hakuwahi kufanya na wewe unafanya Bidaa inaingia hapo na bidaa mwisho inageuka na kuwa shirkiNaomba jibu maswali niliokuuliza ili twende kielimi, ili kitu unachokijua tukijue kwa elimu yako sio kwa maneno yako. Elimu ni ufahamu wenye ushahidi.
Nimefurahi sana kukusikia ukisema wewe ni "Talib ilm" kwa wingi wetu na lisan za sasa? Tunakua Taliban, au sio?
Maswali niliokuuliza myepesi sana. Au hujayajua niyarudie kiwepesi zaidi?
Simba.
Kama unasubiri "hitimisho" basi umewahi sana, ndio kwanza tupo utangulizi wa kisa cha adam, bado hata hatujakimaliza kisa hicho, fikiria , kiishe, kianze cha Issa kiishe, na vya mitume wengine viishie, halafu in between kuna vionjo vya kina Arsis.Ndugu yangu, naona ulikurupuka kaanze upya.
Uzi wako nmeufatila mwanzo mwisho siku taka comment chochote mpaka nione hitimisho lako kwa sasa huna jipya.
Umesema Mtume Muhammad(S.A.W) Haja tafsiri Qur-an zaidi ya Aya20 huu ni uwongo wa dhahiri kabisa mtume (s.a.w) ame wafundisha maswahaba zake qur an na kuwa tafsiria ni shie hapo hakuna Arsis ulitaka kuuchafuwa uislam na umeshindwa,
Hii dini Allah ndie anaeilinda.
Na bila shaka hii ni screenshot toka kwa app ya tarjama ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani, shukrani sana Simba kwa hili darsa, hata kama bado hatujalikubali hili la Adam ila wallahi tumestafidi pakubwa mno mpaka hivi sasa. Asante
Soma post #3909 na #3910 kuna jibu la qareen.Umeniuliza kuhusu qareen kama sijakosea nimekwambia Sijui.. hebu nielekeze lakini kwa misingi sahihi ya quran na sunna .. mengine nimekujibu .. ibada na ufugaji wa majini ni ushirikina... Kuagua kwa kutumia majini Mtume wetu hakuwahi kufanya na yeye kama kiigizo chetu kama hakuwahi kufanya na wewe unafanya Bidaa inaingia hapo na bidaa mwisho inageuka na kuwa shirki
Ndugu, Naona bwana simba ameuliza maana ya Qareen hapo, Japo sio swali langu mimi nitajaribu kujibu kwa ninavyoelewa kama ilivyotajwa katika quran na hadith Arsis atafafanua vizuri natumai.
KILUGHA: Neno "qareen" (قرين) ni masdar ya neno "qarana" (قرن), ambalo lina maana ya "kuunganishwa" au "kushirikishwa."
Hivyo katika lugha ya Kiarabu "qareen" inamaanisha "mwandamizi" au "mshirika."
Mpaka hapa utapata swali je ni mshirika wa nini?
Sasa tuje katika Qur an ukisoma katika surat Zukhruf sura ya 43 aya ya 36 utaona ametajwa qareen inasema:-
وَمَن يَعۡشُ عَن ذِكۡرِ ٱلرَّحۡمَٰنِ نُقَيِّضۡ لَهُۥ شَيۡطَٰنٗا فَهُوَ لَهُۥ قَرِينٞ
If anyone withdraws himself from remembrance of (Allah) Most Gracious, We appoint for him an evil one, to be an intimate companion to him.
Katika aya hii utaona sheikh Yusuph Ali ametarjama kwa tutumia neno companion kumaanisha qareen lakini pia Sahihi International nao wametumia neno hilohilo companion, mpaka hapa utaona neno qareen linasimama kama mshirika au mwenza.
Katika aya hiyo Allah anasema ambaye ataacha kumkumbuka yaani kukumbuka rehma zake atateuliwa shetani ambaye atakuwa ni qareen(mshirika) kwake.
Katika hadithi pia qareen katajwa katika hadithi hii:-
عَنْ ابْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللَّـهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّـهِ صَلَّى اللَّـهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: "كُلُّ إِنْسَانٍ مُعَلَّقٌ بِقَرِينِهِ". قَالُوا: وَأَنتَ يَا رَسُولَ اللَّـهِ؟ قَالَ: "نَعَمْ، وَلَكِنَّ اللَّـهَ أَعَانَنِي عَلَيْهِ فَأَسْلَمَ."
Imepokewa kutoka kwa ibn masood amesema , Mtume amesema"Kila mtu ameunganishwa na qareen wake." Wakauliza: "Na wewe, Ewe Mtume wa Allah?" Akasema: "Ndio, lakini Allah amenisaidia dhidi yake, wa kwangu amesilimu.
Hivyo kulingana na maelezo hayo naweza sema kuwa :-
Qareen ni mshirika wa mtu kiroho ambaye anaweza kuwa sababu ya mtu kufanya madhambi wengi katika wanazuoni wanasema mshirika huyo ni katika majini hivyo,mwanadamu anatakiwa kumtegemea Allah ili amkinge na ushawishi wa jini huyu.
Mbona unajihami sana Sheikh? Misingi wangu ni Qur'an, vingine vyote ni sekondari.Umeniuliza kuhusu qareen kama sijakosea nimekwambia Sijui.. hebu nielekeze lakini kwa misingi sahihi ya quran na sunna .. mengine nimekujibu .. ibada na ufugaji wa majini ni ushirikina... Kuagua kwa kutumia majini Mtume wetu hakuwahi kufanya na yeye kama kiigizo chetu kama hakuwahi kufanya na wewe unafanya Bidaa inaingia hapo na bidaa mwisho inageuka na kuwa shirki
Mtoa mada ni mimi, wapi umeona nafuga majini Sheikh? Nukuu. Au hunisomi vizuri?Ahsante kwa jibu lako nimeelewa na nimekubali sababu umeongea kwa dalili mimi ni nani nipinge ... Na umemaliza vizuri sana ( Mwanadamu anatakiwa kumtegemea Allah ili amkinge na huyu jinni ambaye ni shetani )
Iweje kuna watu kama hawa kina Dr Sule , mtoa mada na mfano wa watu hao wanayafuga haya majini na wanategemea katika tiba zao .. nikauliza swali Mtume au mmoja kati ya wanafunzi wake au wanafunzi wa wanafunzi wake katika zile karne tatu Bora walishafanya haya?!
وَقَالَ قَرِينُهُۥ هَـٰذَا مَا لَدَىَّ عَتِيدٌ (Surat Qaaf, 23), Hapa pia imetajwa Qareen, ila watafsiri wengine wanasema hii Qareen hapa ni malaika na wakataja malaika kabisa kwa neno kwny tafsiri zao, na hapo ndipo ilipo hoja kubwa ya Arsis....acha tu tusome Qur-an na elimu zake ili tuielewe vyema zaidiNdugu, Naona bwana simba ameuliza maana ya Qareen hapo, Japo sio swali langu mimi nitajaribu kujibu kwa ninavyoelewa kama ilivyotajwa katika quran na hadith Arsis atafafanua vizuri natumai.
KILUGHA: Neno "qareen" (قرين) ni masdar ya neno "qarana" (قرن), ambalo lina maana ya "kuunganishwa" au "kushirikishwa."
Hivyo katika lugha ya Kiarabu "qareen" inamaanisha "mwandamizi" au "mshirika."
Mpaka hapa utapata swali je ni mshirika wa nini?
Sasa tuje katika Qur an ukisoma katika surat Zukhruf sura ya 43 aya ya 36 utaona ametajwa qareen inasema:-
وَمَن يَعۡشُ عَن ذِكۡرِ ٱلرَّحۡمَٰنِ نُقَيِّضۡ لَهُۥ شَيۡطَٰنٗا فَهُوَ لَهُۥ قَرِينٞ
If anyone withdraws himself from remembrance of (Allah) Most Gracious, We appoint for him an evil one, to be an intimate companion to him.
Katika aya hii utaona sheikh Yusuph Ali ametarjama kwa tutumia neno companion kumaanisha qareen lakini pia Sahihi International nao wametumia neno hilohilo companion, mpaka hapa utaona neno qareen linasimama kama mshirika au mwenza.
Katika aya hiyo Allah anasema ambaye ataacha kumkumbuka yaani kukumbuka rehma zake atateuliwa shetani ambaye atakuwa ni qareen(mshirika) kwake.
Katika hadithi pia qareen katajwa katika hadithi hii:-
عَنْ ابْنِ مَسْعُودٍ رَضِيَ اللَّـهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّـهِ صَلَّى اللَّـهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ: "كُلُّ إِنْسَانٍ مُعَلَّقٌ بِقَرِينِهِ". قَالُوا: وَأَنتَ يَا رَسُولَ اللَّـهِ؟ قَالَ: "نَعَمْ، وَلَكِنَّ اللَّـهَ أَعَانَنِي عَلَيْهِ فَأَسْلَمَ."
Imepokewa kutoka kwa ibn masood amesema , Mtume amesema"Kila mtu ameunganishwa na qareen wake." Wakauliza: "Na wewe, Ewe Mtume wa Allah?" Akasema: "Ndio, lakini Allah amenisaidia dhidi yake, wa kwangu amesilimu.
Hivyo kulingana na maelezo hayo naweza sema kuwa :-
Qareen ni mshirika wa mtu kiroho ambaye anaweza kuwa sababu ya mtu kufanya madhambi wengi katika wanazuoni wanasema mshirika huyo ni katika majini hivyo,mwanadamu anatakiwa kumtegemea Allah ili amkinge na ushawishi wa jini huyu.
Mtoa mada ni mimi, wapi umeona nafuga majini Sheikh? Nukuu. Au hunisomi vizuri?
Kwanza hujamalizia kujibu maswali yangu, unakurupuka na maswali mengune na unachomekea wasiopo kwa kuwahukumu kwa swali lako. Maana naona ushahukumu wanfuga majini. Hio ni dhanna na dhanna si nzuri katika mafundisho ya Uislam.
Simba.
Ndugu yangu umemsoma Sheikh Lidafo kuhusu Qareen? Umemuelewa? Umeiona na nyama nilioongezea mimi kidooogo?Je, na hapo utasema kua Bwana Mtume Muhamaad (SAW) alikua anafuga jini? Au hujamuelewa alichojibu?Umeniuliza kuhusu qareen kama sijakosea nimekwambia Sijui.. hebu nielekeze lakini kwa misingi sahihi ya quran na sunna .. mengine nimekujibu .. ibada na ufugaji wa majini ni ushirikina... Kuagua kwa kutumia majini Mtume wetu hakuwahi kufanya na yeye kama kiigizo chetu kama hakuwahi kufanya na wewe unafanya Bidaa inaingia hapo na bidaa mwisho inageuka na kuwa shirki
Mimi nitamuelezea Qareen kwa tafsil, itapofika wakati wake.وَقَالَ قَرِينُهُۥ هَـٰذَا مَا لَدَىَّ عَتِيدٌ (Surat Qaaf, 23), Hapa pia imetajwa Qareen, ila watafsiri wengine wanasema hii Qareen hapa ni malaika na wakataja malaika kabisa kwa neno kwny tafsiri zao, na hapo ndipo ilipo hoja kubwa ya Arsis....acha tu tusome Qur-an na elimu zake ili tuielewe vyema zaidi
Ndugu yangu umesoma Sheikh Lidafo kuhusu Qareen? Umemuelewa? Umeiona na nyama nilioongezea mimi kidooogo?Je, na hapo utasema kua Bwana Mtume Muhamaad (SAW) alikua anafuga jini? Au hujamuelewa alichojibu?
Ukiyajibu na yale maswali yangu mengine utapata jibu kamili ndani ya nafsi yako.
Simba.