Nimchokoze Mohamed Said juu ya historia ya Denis Phombeah; ni vipi alishiriki katika uhuru wa Tanganyika?

Hussein,
Kwa kuwa somo hili tulishalisoma sidhani kama kuna haja ya mimi kuongeza chochote.

Turejee tu kwa yale ya nyuma tujikumbushe.
 
mzee Said unapokua kwenye mjadala flani hapa jukwaa la history huwa kuna watu wanajaribu kukukwaza kwa makusudi kabisa ili kukutoa kwenye mada husika,nakushauri uwe unawapuuza ili ubaki kwenye content watu tupate faida bana.

vijana wa hovyo unapoteza muda kuwajibu wengine wamekosa radhi za wazazi wao wewe utawaweza!.
Mohamed Said
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…