Samora magafu
Member
- Jun 12, 2022
- 16
- 9
Piga picha hiyo profile..na hiyo kozi gani umeomba?
Hadi saiv wanafunzi walio chagua iyo course ni 32 ambao wameomba kama chaguo la kwanzaMkuu ndo hii nimepiga picha Hao applicant choose as ndo watu gani
View attachment 2293498Piga picha hiyo profile..na hiyo kozi gani umeomba?
Hadi saiv wanafunzi walio chagua iyo course ni 32 ambao wameomba kama chaguo la kwanza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hadi saiv wanafunzi walio chagua iyo course ni 32 ambao wameomba kama chaguo la kwanza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Samahani Tena naomba kuuliza nina division two ya 18.. PhyC Bio. B Chem C math D Je naweza Pata nafasi hapoHadi saiv wanafunzi walio chagua iyo course ni 32 ambao wameomba kama chaguo la kwanza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
View attachment 2293498Piga picha hiyo profile..na hiyo kozi gani umeomba?
Hadi saiv wanafunzi walio chagua iyo course ni 32 ambao wameomba kama chaguo la kwanza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hadi saiv wanafunzi walio chagua iyo course ni 32 ambao wameomba kama chaguo la kwanza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Samahani Tena naomba kuuliza nina division two ya 18.. PhyC Bio. B Chem C math D Je naweza PataHadi saiv wanafunzi walio chagua iyo course ni 32 ambao wameomba kama chaguo la kwanza
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Samahan naomba kuuliza nina div two ya 18 je naweza Pata nafasi.. Hapo..Piga picha hiyo profile..na hiyo kozi gani umeomba?
Binafsi Nina amini utapata maana wanaomba medical lab wengi huwa Wana ufaulu wa kawaida.
Asante sana me waga nasoma sana ushauri wako ata kwa wengin ambao wanauliza waga unashauri vzr sana na haumkatish mtu tamaa Asante sana.. Nataman ata niwe Nakuuliza maswali direct wwBinafsi Nina amini utapata maana wanaomba medical lab wengi huwa Wana ufaulu wa kawaida.
Nenda PCB wew achana na Diploma utapoteza mudaMaana apa nina two ya 18 afu pia nina pys C, bio B, Chem C, math D.. Afu nimeapply chuo cha dar es police academy medical laboratory
Nenda PCB wew achana na Diploma utapoteza muda
Asante mkuuNenda PCB wew achana na Diploma utapoteza muda
Nimepata asanteni lakin kama kuna wengine waendelee kunielewesha zaidNatumae mleta mada umepata miongozo...
Una physics C? Njoo inboxMaana apa nina two ya 18 afu pia nina pys C, bio B, Chem C, math D.. Afu nimeapply chuo cha dar es police academy medical laboratory
PCB kama hana mapafu ya Mbwa ni ngumuNenda PCB wew achana na Diploma utapoteza muda
Kitabu Kiko kawaida atafaulu akidhamiriaPCB kama hana mapafu ya Mbwa ni ngumu
wewe ndio unampoteza kabisa,nikiona mtu anashauri kijana aende advanced education miaka hii najua hana uelewa wa elimu;Nenda PCB wew achana na Diploma utapoteza muda
Umeongea kweli. Ila wachache tutakuelewawewe ndio unampoteza kabisa,nikiona mtu anashauri kijana aende advanced education muaja hii najua hana uelewa wa elimu;
Kweli ata baba yang aliniambia nisiende advance..wewe ndio unampoteza kabisa,nikiona mtu anashauri kijana aende advanced education muaja hii najua hana uelewa wa elimu;