Mm sibet tena kwakwel labda ngoja izo ideas nyingine niishi nazoToa million 2 iweke kwenye kubet tafuta odd 2 Kwa siku weka 100k faida 100k fanyaga Kwa siku 30 kila mwisho wa mwezi unafunga Hesabu Una angalia profit ni ngapi itabaki 16 toa 3m tafuta boda boda 2 za 1.5m 2 Kwa siku zitakuwa zinakuletea 20k Kwa mwezi 600k itabaki 13m toa 1m au 1.5m tafuta kiwanja utaanza kujenga kidogokigo faida unayo pata kwenye biashara. Imebaki 12m fungua Duka la mitumba la 2m Una nunua mitumba grade A jinsi or t-shirt itabaki 10m toa 5m kafungue fixed account bank funga Kwa miaka 5 ukijafungua utakuta faida kibao. 5m ilio Baki utajua wew ufanyie nn
Subiri ligi ianzeMm sibet tena kwakwel labda ngoja izo ideas nyingine niishi nazo
Kubet hapana kwakwel... Labda niishi na izo ideas nyingineToa million 2 iweke kwenye kubet tafuta odd 2 Kwa siku weka 100k faida 100k fanyaga Kwa siku 30 kila mwisho wa mwezi unafunga Hesabu Una angalia profit ni ngapi itabaki 16 toa 3m tafuta boda boda 2 za 1.5m 2 Kwa siku zitakuwa zinakuletea 20k Kwa mwezi 600k itabaki 13m toa 1m au 1.5m tafuta kiwanja utaanza kujenga kidogokigo faida unayo pata kwenye biashara. Imebaki 12m fungua Duka la mitumba la 2m Una nunua mitumba grade A jinsi or t-shirt itabaki 10m toa 5m kafungue fixed account bank funga Kwa miaka 5 ukijafungua utakuta faida kibao. 5m ilio Baki utajua wew ufanyie nn
Maisha ndo haya mkuu, shauri yako [emoji23][emoji23] ..Hunipendi ww[emoji23][emoji23]
[emoji23]hela za kanisa hawawezi kumuelewa.Mwambie awaambie kua;
"Hela zote zimechukuliwa na pepo mchafu,tufunge na kuomba ili kulikemea hili pepo chafu"
[emoji1787][emoji1787]
Izo 18m zikiliwa naweza nikafa kbsMaisha ndo haya mkuu, shauri yako [emoji23][emoji23] ..
Dah! na uongo sasaHapo siku chache kabla alikuwa anaelezea kuhusu betting.
Anasema yaani hela za mteremko zipo huko,,akajiaminisha mwenyewe akasuka mikeka...yote ikachanika.
Sadaka za watu anaenda kubetia.
Anapiga simu mwanzo alidanganya,akasema ameibiwa hela ndani..
Kumbe amebet!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au kaweke bank 17m ibaki 1m utumie then tuliza akili fanya utafiti unapo kaa biashara gani inalipaIzo 18m zikiliwa naweza nikafa kbs
Kula maisha wewe acha uoga ..Izo 18m zikiliwa naweza nikafa kbs
Halafu ni mtu msomi na akili zake..Dah! na uongo sasa
Huu mchezo nilijiepushanao mapema sana yaani sitaki hata kujua mkeka unasukwaje na nashukuru umenipitia kushoto.
Nikiona washkaji wanavyobet huwa naishia kuwatazama tu.
Niko moshi....... Iyo pesa ilikua ya pocket money kipindi niko fom six. Mm nimeuwa six mwaka huu tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa ndo nimebahatisha 18mUpo mkoa gani? Unafanya shughuli gani tofaut na kubet? Wekeza kwenye kitu unachokifaham...unaish home au umepanga?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo umeniacha kidimbwi ndo wapi?
Ngoja nijaribu mkuu..... Ila nackia cku izi vijana hawaajirik.nisije kuwaajir wakanitia hasaraAu kaweke bank 17m ibaki 1m utumie then tuliza akili fanya utafiti unapo kaa biashara gani inalipa
Kafungue fixed account..weka 15m..iliyobaki weka ya kuanzia maisha chuoni..endelea kusoma kwanza...Niko moshi....... Iyo pesa ilikua ya pocket money kipindi niko fom six. Mm nimeuwa six mwaka huu tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa ndo nimebahatisha 18m
Asante boss nimekupataKafungue fixed account..weka 15m..iliyobaki weka ya kuanzia maisha chuoni..endelea kusoma kwanza...
Kama bado Una endelea na masomo kaweka bank iyo pesa 16m au 15m ifunge mpk utakapo maliza shule ifunge kwenye fixed account ambayo unapata faida asilimia flani kila watakapo itumia so unaweza weka 15m ukaja kuta 25m or 30m kutokana na mda ulio weka hapo sasa utatulia na kutuliza akili ujue unafanya biashara gani au unafungua biashara ganiNgoja nijaribu mkuu..... Ila nackia cku izi vijana hawaajirik.nisije kuwaajir wakanitia hasara
Huyo jamaa anakuuza.Kubet hapana kwakwel... Labda niishi na izo ideas nyingine
Dooh! Huyo anahasara kubwa sana maishani mwake inabidi azinduke haraka sana.Halafu ni mtu msomi na akili zake..
Mtunza hazina wa kikundi kanisani huko..
Ila akaenda kubet hela za kanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila na chuo pia nataka nifanye biasharaKama bado Una endelea na masomo kaweka bank iyo pesa 16m au 15m ifunge mpk utakapo maliza shule ifunge kwenye fixed account ambayo unapata faida asilimia flani kila watakapo itumia so unaweza weka 15m ukaja kuta 25m or 30m kutokana na mda ulio weka hapo sasa utatulia na kutuliza akili ujue unafanya biashara gani au unafungua biashara gani