Nime - bet nimeshinda milioni 18 naombeni wazo la uwekezaji

Njoo small planet Tabata hapa tupange mipango thabiti! Kuna deal lipo mpakani mwa bongo na burundi!

Cha msingi nakupa line tupige hela wote maana sisindikizi mtu kwenye utajiri,,,tutajirike wote kwa hio hela inatutoa kabisa!

Hilo chimbo aisee siyo poa...!!
Unataka ukamvutishe shisha hapo[emoji23]
 
Mz

Hivi unajua hesabu ya pikipiki kwa cku ni sh ngapi? Usimpoteze mwenzako kwa dili zisizo za maaana
Jamaa naona anaflow tu😃😃😃
 
Uko sahihi kwenye kuweka fixed ila huo usahihi kwenye faida ya 25m-30m unanipa mashaka unless ataiweka kwa more than 10yrs

Bank nyingi fixed rate yake huwa haizidi 10% sp
Kuna bank jina kapuni inatoa 5% faida kwa muda wa mwaka 1.
Hapo sijui kodi inakuwaje.
 
Chomoa kiasi njoo invest katik forex ntakusaidia kumanage fund yako
 
ak
Umeona sasa so simply hyo faida haipo
afungue absa account ya bonus saving wanakupa 1% interest ukitunza pesa yako kwa miez mitatu minimum balance n 500,000 so mfano akiweka 15m kwa miez mitatu mfululizo anpt laki na nusu kama interest. so aanze hivo uku akiendelea kufikilia biashara zingine
 
Kuna bank jina kapuni inatoa 5% faida kwa muda wa mwaka 1.
Hapo sijui kodi inakuwaje.
Asilimia 5? Acheni kumdanganya akaja poteza muda wake. Asilimia ni 1.5. Kama anahela nyingi sana mfano 500m anaweza negotiate na benki lakini siyo kwa 18m.
 
Kuna bank jina kapuni inatoa 5% faida kwa muda wa mwaka 1.
Hapo sijui kodi inakuwaje.
Asilimia 5? Acheni kumdanganya akaja poteza muda wake. Asilimia ni 1.5. Kama anahela nyingi sana mfano 500m anaweza negotiate na benki lakini siyo kwa 18m
 
Mleta mada nenda Norway ukale maisha kwa muda. Ukirudi uje ukomae kubet tena
 
Weka picha utuhamasishe kijana. Bila picha huu uzi ni batili. ,😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…