Nime-fall in love huku JF...

Nime-fall in love huku JF...

Katika hali ya kutatanisha nilijikuta nimefall in love na mwana JF mwenzangu. Tulianza kimzaha lakini baadae kizaha zaha! Radi HUPIGA mara moja.

Bahati mbaya shetani aliingilia kati na kuzua taharuki kwenye mahusiano yetu! Nitampata wapi huyu binti mpaka namba za simu kabadilisha!

Ni pale unapomkosa mtu katika maisha yako ndio unatambua umuhimu wake.

My future wife please rudi.
images (21).jpeg
 
Kaenda kufanya challenge ya Gidi ya kaka diamond[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole kaka Zigidii
 
Kivp[emoji849][emoji849][emoji849]sio raha za aina yote
furaha ni safari sio mahala..unaeza kufurahia mapenzi bila pesa lakini vile vile huwezi kufurahia pesa bila mapenzi.upo hapo?😁vitu vidogo kwa mwishoni ..
 
Bed performance 0%
Word performance 90%
Hela performance 0%

Ulimla kimasihara lakini?? Atleast useme ulikula na wewe??!!!
Takwimu zako haziko sahihi.Zipo Judgemental sana! Lakini what happens in Vegas stays in Vegas! I DON'T kiss and tell
 
  • Thanks
Reactions: 9mm
"Oh baby, I don't really understand
Nahisi kama umenifanyia limbwata,
Ila ndo mapenzi sishangai.
My lady, I don't want a night stand
Mi kwako chizi nishadata,
Nitakupenda till i die"
 
Back
Top Bottom