Nimeacha kazi U.A.E ya ubaharia niliyotafutiwa na shangazi

Nimeacha kazi U.A.E ya ubaharia niliyotafutiwa na shangazi

Joined
Jun 8, 2023
Posts
24
Reaction score
37
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Wewe ndio mwenye sababu za kuacha sio sisi kwaiyo maamuz yako ni yako
 
FB_IMG_17176792962947485.jpg
 
Japo kama mtu niliwahi kaaa oman namuelewa huyu kijana kama umewahi chomwa na jua la hizo nchi

Asee oman niliona jua ambalo tofauti sana na jua la tanzania linachoma sana kiasi wengi hawafanyi kazi mchana
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
UMEKUJA KUUNGANA NA WENZAKO LEO WAMEJAZANA SIJUI SEHEMU GANI KUNA AJIRA TENA WANATAKIWA WATANO TU ,CHA KUSHANGAZA WAMEKUJA ELFU MOJA.
JINGA WEWE
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Education is better than money!
 
kijana mkubwa wa habari mbona umekimbia uzi.

ulikuwa unalipwa Pesa ngapi huko kwa warabu?
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Mimi naona uko sawa maana wanaokwambia umekosea hawajui shida na tabu na mateso ambayo ulikuwa unapitia
 
Wewe ndiyo unajua uliteseka kiasi gani. Hao wanaokulaumu hawajui ulikumbana na ugumu gani. Amini katika ndoto zako soma CPA ukifanikiwa kupata basi ndiyo utaanzia hapo hapo ku hustle kuelekea hatua nyingine. Moyo wako ndiyo una majibu achana na maneno ya ndugu wao mbona wako bongo hawakwenda huko Oman.
 
Back
Top Bottom