Nimeacha kazi U.A.E ya ubaharia niliyotafutiwa na shangazi

Nimeacha kazi U.A.E ya ubaharia niliyotafutiwa na shangazi

Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Katolewe kwa wazungu kama unataka ujilaze laze kama mjamzito
 
Jinga sana wewe. Mitoto ya siku hizi bure kabisa. Unaacha kazi mwanaume mzima unaogopa jua?

Subiri sasa kazi ya kwenye AC broiler wahed wewe
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Ni kushinda juani na si kukesha. Pili heshimu njia zako. Ukiwasikiliza sana watu utaumia. Maliza shule yako uangalie mbele.
 
Sema uliacha mpenzi wako bongo na ukawaza atakuwa anadinywa kwa kasi ya 5G.
Kama wenzio wanaweza kuvumilia kwanini wewe ushindwe na ni mwanaume mwenye kende mbili?
Nahisi wewe ni toka familia bora au mtoto wa mama madeko mengi.
 
Sema uliacha mpenzi wako bongo na ukawaza atakuwa anadinywa kwa kasi ya 5G.
Kama wenzio wanaweza kuvumilia kwanini wewe ushindwe na ni mwanaume mwenye kende mbili?
Nahisi wewe ni toka familia bora au mtoto wa mama madeko mengi.
Hahah, mkuu hapana asee maisha ya kule hayakua rafiki kabisa.
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Kama unakesha juan Kwan hapakuwa na miamvuli ya kimchongo na Miami ya Jua ndugu
 
Dah! Hii thread iliachwaje mda wote huo without even a single comment?inashangaza kidogo.
 
Nikukumbushe TU ukitaka kufanikiwa usiangalle flani au nanj anasema njni kukuhu,
uangalie moyo wako,inabidi ujifanye kauzu
Huyo jamaa hana huo uwezo kwa sababu anawategemea ndugu wamtoe kimaisha.

Anawaza, akimaliza CPA nani atamtafutia kazi wakati kila ndugu anamponda na kusema alitafutiwa kazi akakimbia.

Cha kufanya, apambane yeye kama yeye akifanikiwa ndiyo pona pona yake kwa hao ndugu kumpiga madongo. Akiendelea kuzubaa atakuwa mfano kwa ndugu!
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Ushamaliza CPA? Hilo jua lazima ulitoka mweusi tiii...

Uamuzi wa maisha yako ni wako. Fanya unaloona sahii.
 
Kuna jua Kali haswa joto huwa linafika 49°C

Pole pambana
 
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.

Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina mchongo nikapata taarifa kuwa kuna kampuni ipo Abu Dhabi inahitaji wafanyakazi wa kwenye meli yani tuite ubaharia sasa nikafanyiwa mpango kweli nikapata ile kazi maeneo ya Mussafa, Adnoc, kwa wanaofahamu haya maeneo watathibitisha kuwa jua lake ni la kuchemsha yai likaiva, sasa na mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye boti kama msaidizi kwa hiyo tunakuwa nje kuanzia asubuhi mpaka jioni

Hii hali ilinitesa sana nikaamua kuachalia mbali ile kazi na kurudi bongo kusoma CPA, kwaajili ya kuendeleza professional yangu. Sasa imekuwa lawama kwa ndugu kila mahali wananinyooshea mikono kuwa nimekosea kwa uamuzi nilioufanya sasa inanipa shida na sometimes mwenyewe nimeshaanza ingiza hofu mpaka hata elimu ya CPA inashindwa kupanda kutokana na maneno ya ndugu.

Kwa hiyo wakuu nimekuja kwenu kwa ushauri wenu kuhusu ili kuwa uamuzi nilioufanya ni sawa ua nimekosa sana manake kazi haikuwa ngumu ila mnakesha juani sasa nikapoteza raha kabisa.
Ulipaswa kununua kofia kubwa ya kujikinga na jua kali na kuvaa mavazi ya maeneo ya joto kali basi. Manake hata huko ofisini unapokwenda kuna joto kali pia.
 
Back
Top Bottom