Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

Nyie bishaneni juu ya vyuo cjui nn!!! Nilitokea kazini kwenda kusoma then walichokuwa wanakihitaji kwangu ni shahada tu na wala haijalulishi nimeipata wapi na kale ka NGO kangu kanakwenda vizuri, Udsm maboya tu!!
 
Wabongo wa kukariri kwa kuongea ujinga!! Hivi Bakhresa kasona Udsm?? Fanya yako usivimbe kichwa kwa jina la chuo, Udsm maboya tu #Team Udom#
 
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.

Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..

sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.

waambie maana kuna watu wana imani za mkumbo eti kisa kasoma udsm anaona kamaliza kila kitu wakati watu wanalia na degree hizo za udsm
 
Hata mimi utoto ulinifanya nisione kama kuna sekondari kuishinda Tambaza.
 
Nakukumbusha tu wakati unaomba chuo uliweka UDSM first choice na kama hukufanya hivyo basi points zako za advance zilisumbua,
Naamini ulienda kusoma huko ulikosoma baada ya kukosa nafasi UDSM na kama sio hivyo basi hata ufaulu wako ulikua wa kusuasua kitu kilichopelekea mpaka leo useme ''sizitaki mbichi hizi''[
Mkuu hii inatokana na TCU kupanga vyuo hata kwa watu wa dvsn 4
 
mimi naomba nitoe ushuhuda, nilisoma chuo kimoja hapa daa kipindi hicho nilikuwa na cert ya clinical assistant bei niliopokea hata bsc ya education pale udsm watasubir sana
 
Udsm jina tu msiogope,tukutane kwa interview kama sijakutoa nocaut na oral.
 
ni vizuri kuwapa moyo waliokosa nafasi udsm maana pale ndo elimu bora ilipo ila sio kwamba vyuo vingine havifundishi heshima ya udsm itabaki pale pale tu asilimia 90 ya wanafunzi wake ni wale vichwa wa a level schools zote tz. Wape moyo wapate gpa nzuri masters wasikose nafasi tena!
 
Ndo wanavyojazana ujinga ata wakiwa wnafanya usaili. Mtu anachaguliwa li koz udsm hajui ata akimaliza anakua nani imagine. Just alitaka kwenda ud ndo wamejaa humu ndani inaniuma sana mwanafunz wa chuo kikuu hajui fani anayosoma anakuja kufanya kaz gan. Huku ndo kudata mkumbo njoo mtaani uone kwenye interview wa udsm wanawekwa upande wao na vyuo vingine upande wao
 
Ndo wanavyojazana ujinga ata wakiwa wnafanya usaili. Mtu anachaguliwa li koz udsm hajui ata akimaliza anakua nani imagine. Just alitaka kwenda ud ndo wamejaa humu ndani inaniuma sana mwanafunz wa chuo kikuu hajui fani anayosoma anakuja kufanya kaz gan. Huku ndo kudata mkumbo njoo mtaani uone kwenye interview wa udsm wanawekwa upande wao na vyuo vingine upande wao

sio kweli hamna asiyejua kua atapata kazi gani sema kuna coz kama socialogy zinacover maeneo mengi ya ajira kwaio akikuuliza sio kwamba hajui bali anataka ya nyongeza kwa wenye uzoefu
 
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.

Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..

sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.

kumbe wewe bado mwanafunzi!
 
Nakukumbusha tu wakati unaomba chuo uliweka UDSM first choice na kama hukufanya hivyo basi points zako za advance zilisumbua,
Naamini ulienda kusoma huko ulikosoma baada ya kukosa nafasi UDSM na kama sio hivyo basi hata ufaulu wako ulikua wa kusuasua kitu kilichopelekea mpaka leo useme ''sizitaki mbichi hizi''[
Mkuu hii inatokana na TCU kupanga vyuo hata kwa watu wa dvsn 4

acha kujidanganya wewe mbulurazzzz
 
ni vizuri kuwapa moyo waliokosa nafasi udsm maana pale ndo elimu bora ilipo ila sio kwamba vyuo vingine havifundishi heshima ya udsm itabaki pale pale tu asilimia 90 ya wanafunzi wake ni wale vichwa wa a level schools zote tz. Wape moyo wapate gpa nzuri masters wasikose nafasi tena!
1
swali ? ni je? kazini unaulizwa umesoma wapi?
2.udsm wanapata kazi kuliko vyuo vingine?
3.sociology ya udom ni tofauti na udsm/
 
1
swali ? ni je? kazini unaulizwa umesoma wapi?
2.udsm wanapata kazi kuliko vyuo vingine?
3.sociology ya udom ni tofauti na udsm/

waulize wanasoma udsm ilivyorahisi kupata scholarships nje sio vyuo mbuzi kama mweka ukisoma wikipedia wameandika kuna ukiritimba toka walimu wakizungu waondoke! Haaa nani awaamini sasa.....
 
Mtoa post umepevuka, kuna mwana udsm anaandikiwa barua Kila mwaka na wanafunzi hawez kufundisha mpaka ameamua awe analewa tu kutuliza mawazo..... Kwenye vyeti Ana bonge la G.P.A et nmefundishwa na maprofesa kibao..... Darasani hawez kucheza na mind za watu-hasomeki
 
kuna wa2 wanafkir kama hujaxoma udsm bac hujaenda chuo.eti alichagua udsm akakoxa.kwan hpo kuna fakat zote? hapo kuna md,pharmacy,nursing,lab tech.mbona toka nianze kusoma a level cjawah kufikiria udsm.cha ajab unasoma education tena arts unamdharau anayesoma kcmc,bugando,st francis.we c n chiz kabxa!!!
 
Course za kienyeji enyeji hizo mpk data star na eagle wing wanazo...

Ukitaka kujua utamu wa udsm, kamata m/funzi wa CoET, CoNAS au kitivo cha sheria, then compare na m/funzi wa chuo kingine...

Nilikua field Puma Energy na w/funzi udom 3rd yr petro. Eng. M/funzi hajui kbs hata zile essentials ndogo ndogo, ukimwambia drilling rigs, blowout preventer, drilling bits, pipe tongs, drill pipe elevator, stingers, swellable packers, phase separation gas/oil mixture, oil dehydration and desalting, ata ukimwambia 2nd phase separation of oil-water emulsion anabaki anakutumbulia mijicho...

Hadhi ya UDSM ipo pale²
Acha uongo wewe...wadanganye wasiojua...kumezeshwa hizo essentials kusikufanye unaijua sana petroleum...kujua kwako vi maneno about overview ya petrol kusikupe kichwa....ni wivu ndio uliokukaa akilini mwako..kwanza hakuna mwanafunzi hata m1 wa udom petroleum engineering ambaye amefanya field Puma energy mwaka huu,,,3rd year wote wapo wanne tu darasani na field wamefanyia statoil wote...na second year wote wamefanyia field makampuni mengine na siyo Puma energy,,,,,kama unaendelea kubisha nakuumbua sasahivi....sio tu mnajenga chuki au kusikia alafu mnavuja uongo......Tafuta njia nyingine ya kudanganya lakini siyo hii uliyokuja nayo,,,
 
wanafunzi wengi(sio wote) wa udsm wanakariri tu vitini ili wafaulu mitihani yao ndio maana hawapo competent ukilinganisha na vyuo vingine tena vinavyochipukia. Mfano nilivyokuwa field mwaka wa pili kwenda wa tatu, nilipata field tanesco makao makuu kufanya field ya accounting. Sasa ndipo nilipogundua wanafunz wengi wa udsm ni shalloow. wao kaz yao ni kujisifu tu kuwa wamesoma udsm na zarau nyiingi. Ila kwenye kaz ni f na wavivu. Mkuu wa kitengo akiwauliza maswali ya kawaida tu ya accounts hawajui hata kidogo, wakibanwa sana wanasema eti hilo swal ni la koz ya mwaka wa kwanza so hawakumbuki, yaan ni full aibu. Ila wanafunz wa tia na ardhi wapo vizur aisee had raha ingawa mimi sijasoma ivyo vyuo.

Nmekupenda bureee
 
Back
Top Bottom