Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

Utazunguka kila bucha, lakini nyama ndio ile ile... So far goodwill or image ya chuo ina mchango wake!
 
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.

Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..

sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.

Ngoja nikusaidie tatizo si chuo unachosoma tatizo cozi unayochukua, we hata usone oxford kama coz kwa bongo hapa hailipi ni hailipi tu, kwa mfano mtu unachukua procurement and supplier unategemea itakuwa raisi kupata kazi bongo hapa? Ila civil eng or dictor akisema ajira ngum mchape vibao
 
Course za kienyeji enyeji hizo mpk data star na eagle wing wanazo...

Ukitaka kujua utamu wa udsm, kamata m/funzi wa CoET, CoNAS au kitivo cha sheria, then compare na m/funzi wa chuo kingine...

Nilikua field Puma Energy na w/funzi udom 3rd yr petro. Eng. M/funzi hajui kbs hata zile essentials ndogo ndogo, ukimwambia drilling rigs, blowout preventer, drilling bits, pipe tongs, drill pipe elevator, stingers, swellable packers, phase separation gas/oil mixture, oil dehydration and desalting, ata ukimwambia 2nd phase separation of oil-water emulsion anabaki anakutumbulia mijicho...

Hadhi ya UDSM ipo pale²

Huoni kama hilo ni tatizo la mwanafunzi mwenyewe na wala si chuo??
 
Katika ulimwengu wa sasa tunatazama ni kwa namna gani unaweza ku convert knowledge uloipata chuoni kwenda kwenye practice? Je, upo tayari kuhimili ushindani katika soko la ajira au theories zimejaa akilini mwako! Si muda wa kubeza chuo kingine na kusifia chuo chako.Jiulize we ni msomi au ulisoma tu!
 
Wewe dogo hata first year hujaanza unapiga kelele hapa.

Embu subiri kuanzia 2017 ndio upige kelele humu.

Ww mjinga sana, unakurupuka kwa kudandia treni kwa mbele, ngoja nikupuuze bure.
 
Course za kienyeji enyeji hizo mpk data star na eagle wing wanazo...

Ukitaka kujua utamu wa udsm, kamata m/funzi wa CoET, CoNAS au kitivo cha sheria, then compare na m/funzi wa chuo kingine...

Nilikua field Puma Energy na w/funzi udom 3rd yr petro. Eng. M/funzi hajui kbs hata zile essentials ndogo ndogo, ukimwambia drilling rigs, blowout preventer, drilling bits, pipe tongs, drill pipe elevator, stingers, swellable packers, phase separation gas/oil mixture, oil dehydration and desalting, ata ukimwambia 2nd phase separation of oil-water emulsion anabaki anakutumbulia mijicho...

Hadhi ya UDSM ipo pale²

Huyo atakuwa na matatizo individual ,hivi vitu ulivyovitaja nusu nimevielewa mbali sikusoma Petrolium eng,
 
Udsm ndiyo chuo kikuu pekee vingine vyote ni vyuo vikuu shiriki au sekondari zilizo pandishwa hadhi, vijana wa udsm wako makini ile mikikimikiki ya yombo thieter a 1 coet misemina lazima uwe fiti mtaani hadi kazini
 
Course za kienyeji enyeji hizo mpk data star na eagle wing wanazo...

Ukitaka kujua utamu wa udsm, kamata m/funzi wa CoET, CoNAS au kitivo cha sheria, then compare na m/funzi wa chuo kingine...

Nilikua field Puma Energy na w/funzi udom 3rd yr petro. Eng. M/funzi hajui kbs hata zile essentials ndogo ndogo, ukimwambia drilling rigs, blowout preventer, drilling bits, pipe tongs, drill pipe elevator, stingers, swellable packers, phase separation gas/oil mixture, oil dehydration and desalting, ata ukimwambia 2nd phase separation of oil-water emulsion anabaki anakutumbulia mijicho...

Hadhi ya UDSM ipo pale²

utakuwa muhaya wewe chonka naiweee.......
 
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.

Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..

sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.

Kumbe bado unasoma,kwa hiyo ulijipima wewe mwanafunzi na hao vijana wafanyakazi? Au graduate wa Udsm na wa ITA? Ulitumia njia gan kuangalia perfomance? Subiri boom urudi zako chuo.
 
Ahya mkuu lakini ukweli utasimama daima kuwa vyuo nchini ni UDSM MZUMBE SUA na ARDHI hivyo vingine vyote ni asante Jakaya.

Nakukumbuka Zamani zile nilipokuwa na ID tofauti na hii, ulivyokuwa ukiwashauri wenzio kusoma combination/ course za science. Halafu ndo kwanza ulikuwa umemaliza form four!
 
maneno ya wakosaji,,sijui kuna shida gani kila anaekosa udsm anaishia kuiponda tu...ndo ukweli kwa mfano vile!
 
Kwahiyo sasa hivi nipo Form ngapi mkuu nimeshamaliza Form6 au vipi?

I hope utakuwa Ly ( last year) au ushamaliza kabisa! Halafu si ndo nyie mnasomaga mpaka mwaka wa 4-5? Ulinikwaza sana ukizingatia mi nilisomaga HKL! But am glad mtaa unatufundisha maisha! Nilikuwa nakutafuta siku moja nikukumbushe hope ulikuwa utoto tu!
 
kama upo muccobs lazima upige makofi ukimaliza kusoma hii thread!

Kama mi nilivyofurahi??? Kwa sababu nilisoma diploma Muccobs enzi zile! Ila mambo yananiendeaje kazini!! Malizeni Vyuo mje mtaani vijana! Tulioko makazini hatuachi kazi ng'oo labda tufe! Teh teh
 
I hope utakuwa Ly ( last year) au ushamaliza kabisa! Halafu si ndo nyie mnasomaga mpaka mwaka wa 4-5? Ulinikwaza sana ukizingatia mi nilisomaga HKL! But am glad mtaa unatufundisha maisha! Nilikuwa nakutafuta siku moja nikukumbushe hope ulikuwa utoto tu!

Hahaha mkuu unajua ile thread nilipost kwa ID yangu nyingine ya aranblue so mods wakaamua kuimergeout kwa real ID yangu, but i did that for the specific purpose ili kuuvaa uhusika japo in real sense i not meant what i wrote, so it was kindly of gossip thread na ndio kawaida ya JF watu huwa tunajichetua akili ili maisha yaende.

Justly forget about that.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom