Nimeacha kudharau wanaosoma vyuo tofauti na UDSM

cjui kwa nn hyo ni tabia ya wabongo wengi akishajiona ana kielimu flan basi wenzake anawaona kama c watu yan siendi mbali me mwenyew nna tabia kama hyo ila kila cku namuomba mungu anisaidie itoke koz huwa najistudia
 
nyinyi pigeni kabobo weeee mkichoka mtakaa mbali na keyboard.tanzania hii chuo ni kimoja tu, MUM ( Muslim University of Morogoro) period.vingine vyote vinapanga foleni.twih twih twih!

Tena ongezea mwisho wa siku ni unayapelekaje maisha na sio ulisoma chuo gani....
 

Nilkuwa napita tu, ila uzi umenigusa, ni kweli siyo w/funz wote, ni baaz na huwez kujaj chuo km chuo, n juhud binafsi za mwanafunz mwenyewe.
Hiin true, imetokea, nilkuwa Field nikiwa Diploma mwaka wa pili cye tunaita NTA5, nikiwa MIST kipnd hcho,now MUST, nilifanya field pale Mbeya Cement kitengo cha IT, nna Computer Engineering, ukwel n kwamba tulikuwa na m/funz wa UDOM mwaka wa1 Degree Comp. Sc and Eng., UDSM 2 mwaka wa 1 na mwaka 3 same coz, St. Joseph Dar, 3, 1 mwaka wa 2 Comp Sc. and Eng. na 2 mwaka wa 3, Info. system and Networking Eng. wote Degree. lakin wote wao hovyo kabisa ktk vitendo, walkuwa vizur ktk theory, Progrmming na Database, vitu vdogo km RAM,HDD, RJ-45, Mother board, walikuwa hawajui vnafananeje na vnakaa wap ktk Comp. sasa linganisha, wao Degreee mm Diplom, kwel? juz tu 2011, Now Nachukua Bachelor Comp. Eng. palepale MUST, na hao jamaa na wadada washamalza Degree zao.

Sasa hapo cjui km ni ishu ya CHUO au MWANAFUNZI mwenyewe?
 

Duu napita tu.
 
Ahya mkuu lakini ukweli utasimama daima kuwa vyuo nchini ni UDSM MZUMBE SUA na ARDHI hivyo vingine vyote ni asante Jakaya.
Ardhi kimeanza kutambulika kama chuo 2007 nayo ni asante jakaya kitambo kilikua kinatambulika kama uclas
 
Iicho chuo ni noma ww ndio hukijui ni chuo cha taifa cha tax na wanafunz wanaosoma hapo ni wachache na ni direct employment wakimalizaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…