Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Mkuu utani wako ni nomaArsenal hawana tofauti na Mtibwa...huwa wanashika nafasi za timu nyingine tuu.
YametimiaMsimu wa Arsenal ushakwisha, Out Fa Cup na wiki ijayo Out UCL
Nimetafuta kila aina ya kuachana Na hii timu ila nimeshindwaHongera kwa kuzoea machungu wengine tulisha jiondoa siku nyingi.
hahahah...Yametimia