Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

Wanazi wa Arsenal mnasemaji leo mtachoka kwa Spurs ?.
 
Msimu huu zile timu kubwa za england zimekuwa weak sana.
 
CdcECf9W8AAFWtR.jpg:large
 
Wenger anatuzingua sijui kwanini yule mzee hataki kuamini kuwa maisha yanaweza endelea bila yeye kuwa kocha anakuwa kama M7 au M gb
 
Watu tuna hobby na pressure kuicha Arsenal ni kujikosesha uhondo
 
3244CAF800000578-0-image-a-20_1458175008628.jpg


Haaa haaaa Wacha1 katimua mbio utadhani mwanariadha wa Kenya.
 
Back
Top Bottom