SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
Ulifanya uamuzi sahihi sana........
Nimeepukana na hizi stress za Mzee Wenger siku hizi naburudika na mambo kama haya
Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK RejaoViper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya
Ukiona mtu amefanikiwa kuhama timu, huyo ni shabiki maandazi...anahamia kwenye misiba kama hakuna maulidi. Hongera sana
Nimeepukana na hizi stress za Mzee Wenger siku hizi naburudika na mambo kama haya
Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK RejaoViper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya
Dini ni fasheni ya maisha, team ni kama kabila. Ndio maana nikakupa hongera mkuu, wengine tulijaribu ikashindikana.Watu wanahama dini itakuwa team π
Umechukua maamuzi sahihi. In fact kwa mujibu wa wamiliki wa Arsenal, Wenger is there to stay kwa sababu anazalisha faida, hana shida na vikombe. NUKTA. πππππWatu wanahama dini itakuwa team π
Una bahati na kujitambua glory glory man UnitedWatu wanahama dini itakuwa team π
Makocha na wachezaji wanaolipwa wanatimuka, hebu amukeni wana Arsenal hameni hata kwa mkopo.We ni mshabiki ndio maana umeacha, sababu sikuzote shabiki hufurahia mazuri tuu ila sisi "wapenzi" wa Arsenal tutaendelea hata tupigwe 6