barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Kwa kweli nashangaa watu wanaosema wamefanikiwa kuhama timu, mimi nimeshindwa!Kwenye ushabiki wa mpira huhami timu
Huyo alikuwa shabiki maandazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli nashangaa watu wanaosema wamefanikiwa kuhama timu, mimi nimeshindwa!Kwenye ushabiki wa mpira huhami timu
Huyo alikuwa shabiki maandazi
Kwa kweli nashangaa watu wanaosema wamefanikiwa kuhama timu, mimi nimeshindwa!
Mi Arsenal damu ila NILIAPA na NAENDELEA KUAPA siingii jukwaa la arsenal humi JF mpaka Wenger aondoke au Arsenal ishinde EPL trophy au UCL. Nimemchoka mzee Wenger sana!Uko timu gani mkuu?
Kimeo sanaBabu kimeooooo.
Mi Arsenal damu ila NILIAPA na NAENDELEA KUAPA siingii jukwaa la arsenal humi JF mpaka Wenger aondoke au Arsenal ishinde EPL trophy au UCL. Nimemchoka mzee Wenger sana!
Wenger Out, kwa nini nibadilishe msimamo wangu?Bado unataka prof Wenger aondoke?
Wenger Out, kwa nini nibadilishe msimamo wangu?
Imekuwa hivyo kwa miaka 10 sasa!Pamoja na matokeo Ya juzi?
Imekuwa hivyo kwa miaka 10 sasa!
Kama utaendelea na huu msimamo wako, lazima utakua piers morgan weweWenger Out, kwa nini nibadilishe msimamo wangu?
Nilitaka kushangaaa mrembo ashabikie arsenal.Arsenal hapana kwa kwelii
Haahaaahaaaa, hii trend huwa tunapitia kila mwaka! Emotipnal rollercoaster with a sad ending.Kama utaendelea na huu msimamo wako, lazima utakua piers morgan wewe
unadhani hilo (red) linaweza kutokea hivi karibuni?Haahaaahaaaa, hii trend huwa tunapitia kila mwaka! Emotipnal rollercoaster with a sad ending.
Nimemchoka huyu babu mpaka abebe ndoo kubwa EPL au UCL.
unadhani hilo (red) linaweza kutokea hivi karibuni?
any way never say never kabakiza mwaka mmoja tu kwenye mkataba wake hope mwaka huu ata deliver kitu
Hahaa sio kuchukua tu, yaani hata kufika fainal kwa sasa ni ndoto za alinachaUnamaana Arsenal kuchukua UEFA champions league ni ndoto mkuu?
Hahaa sio kuchukua tu, yaani hata kufika fainal kwa sasa ni ndoto za alinacha
Hii ni sawa na demu kujisifia ana mshikaji kwa miaka 20 lakin hata kibendi hamnaSasa ina maana kumaliza top 4 kwa miaka 20 ni kazi Ya bure tu?