SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
Hii ni sawa na demu kujisifia ana mshikaji kwa miaka 20 lakin hata kibendi hamna
Mkuu hapo sasa duuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni sawa na demu kujisifia ana mshikaji kwa miaka 20 lakin hata kibendi hamna
Hii ni sawa na demu kujisifia ana mshikaji kwa miaka 20 lakin hata kibendi hamna
Wewe ni "glory hunter". Na Watanzania wengi wako hivyo, mnashabikia timu inayofanya vizuri na si mapenzi ya timu kama timu. Unadhani watu wanotoka Highbury Street huko London wanaweza kushabikia timu tofauti??? Hamia Man U.
Btw: Mimi chama langu ni Norwich City tangu enzi hizo nchi hii hatujui TV ni nini! Kabla hujauliza niliwajulia wapi; Norwich City walitembelea Tanzania (but I don't remember the year) baba yangu alinipeleka kuwaona wakicheza na Yanga. I got hooked to them todate, washuke wapande nipo nao tu.
Hamia Simba
Poleni sana wana-arsenal
Ars 0-2 South...
Labda Arsenal ya Pluto au VenusArsenal 5
Munich 1
Pole Kwa lipi???
Arsenal ya Ngaramtoni na Bayern ya Sakina?Arsenal 5
Munich 1
Arsenal ya Ngaramtoni na Bayern ya Sakina?
Pole sana. Arsenal ni ileile.Arsenal:
The new UEFA Champions League winners for the first time in the history of UCL
2016/17 EPL winners
Huu ni mwaka wa Arsenal tu
Ndoto zingine buana balaaaArsenal:
The new UEFA Champions League winners for the first time in the history of UCL
2016/17 EPL winners
Huu ni mwaka wa Arsenal tu