Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
huu uzi kila Arsenal akivurunda lazima wananchi waufukunyue ulipo waurudishe hewani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]huu uzi kila Arsenal akivurunda lazima wananchi waufukunyue ulipo waurudishe hewani
Ila wamekupa pesa[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mi na ushabiki wangu uliotukuka kwa the Gunners leo nilibet 'both team to score' niliona itapendeza na Juve ashinde na imetokea.
Arsenal si wa kuaminiwa.
Ilikuwa lazima, maana uwezekano wa kufunga na kufungwa ulikuwa ni mkubwa sana leo.Ila wamekupa pesa
Hivi Yanga inacheza leo??? Tupatieni matokeoNilifikiri unaizungumzia Arsenal, kumbe unaizungumzia Marefa United. Hata mimi najua ina mafanikio sana, ndio klabu pekee yenye kusajili wachezaji na marefa pia.
Kuhusu Arsenal kutochukua vikombe miaka mingi, utakuwa unaumwa wazimu.
Chelsea walisubiri miaka 40
Manchester City miaka 35
Je washabiki wao wamekufa na hayo magonjwa?
Je ni Arsenal peke yake ndio haichukui? Vipi kuhusu West Ham, Everton n.k?
kilichobaki ni kumkataa arsenal kwenye mikeka walau turudishe hela zetu za viingilio vibanda umiza na kupunguza machunguNikishawaambia watu sisi mashabiki Wa Arsenal niamnazo
Nilishaacha kuangalia Mpira wa Arsenal Kbsa
hili ndo LA msingi..kumloga city tuwatukane vizuri team LA ligaAcha nisbirie Liverpool labda wataifunga city ila tubak arsenal kuwa ni invisible pekee
kama leohuu uzi kila Arsenal akivurunda lazima wananchi waufukunyue ulipo waurudishe hewani
Nikishawaambia watu sisi mashabiki Wa Arsenal niamnazo
Nilishaacha kuangalia Mpira wa Arsenal Kbsa