Nimeacha kuishabikia Arsenal

Toka mbwa wewe wala hauhitajiki.nyie wanafiki tu hamjawah na wala sio wapenda arsenal bali wanafiki tu mnazngua. Unafaida gan ukishabikia ....... Kafie mbal nyie ndo mnatuletea mikosi tu mbuzi nyie
 
Toka mbwa wewe wala hauhitajiki.nyie wanafiki tu hamjawah na wala sio wapenda arsenal bali wanafiki tu mnazngua. Unafaida gan ukishabikia ....... Kafie mbal nyie ndo mnatuletea mikosi tu mbuzi nyie
Hutakiwi kumtukana mkuu,humu ndani kuna mashabiki wa mpira na mashabiki wa matokeo ya baada ya mechi,na huyu ni among them!
 


Mkuu habari za Old Trafford? Vipi Moyes hajambo? Mpe salamu nyingi kiraka Fellain.
 

anza mwaka huu kuishabikia
 
[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

Nina uhakika sasa hivi mechi za Man utd unaziangalizia ICU.
 
Na mimi nadeclare nahamia Manchester Utd. Vitu Moyes anavyovifanya ni unprecedent
 
Huyu Ngongo
Kapotelea wapi?
Au keshakufa kwa yaliyomfanya ahame Arsenal? Maana aliyoyakuta ManU ni makubwa zaidi!!! Atavumilua kushuka daraja huyu??

Ngongo .... Hebu tupashe how it feels now you are ManU mpenzi???

Kwilwikwiiikwik
 
Huyu Ngongo
Kapotelea wapi?
Au keshakufa kwa yaliyomfanya ahame Arsenal? Maana aliyoyakuta ManU ni makubwa zaidi!!! Atavumilua kushuka daraja huyu??

Ngongo .... Hebu tupashe how it feels now you are ManU mpenzi???

Kwilwikwiiikwik
Mkuu, usihangaike na watu ambao wako kwenye matembezi lakini hawafahamu wako wapi na wanaenda wapi!

Mtu asiyefahamu anakoenda kila sehemu ndiyo kituo chake na ndiko anakoenda!

David Moyes is the Man!
 
Kuna watu huwa wana akili mbofu sana ..hasa huyu Ngongo sijui ataficha wapi sura yake
 
Last edited by a moderator:
[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

Nina uhakika sasa hivi mechi za Man utd unaziangalizia ICU.

hahahahahahaha me nina wasiwasi ndio atakuwa yule aliyejirusha ghorofani.
 
Hata mimi nahamia man u... wananikosha sanaaaa
 
Kuna watu huwa wana akili mbofu sana ..hasa huyu Ngongo sijui ataficha wapi sura yake

hahahahahahaha huyu jamaa sasa hivi anatakata tu maana The Chosen One anafanya mambo makubwa kweli Pale Old Toilet.
 
Last edited by a moderator:
[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

Nina uhakika sasa hivi mechi za Man utd unaziangalizia ICU.
huyo shabiki matokeo atakuwa hatazami tena mpira
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha Man kupoteza mechi ni suala la mpito tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…