RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
![]()
Haya ndio yalinikimbiza Arsenal imefika mahali hadi manager anapiga sarakasi Wacha1 uliona hizi mbwembwe za Mr Bean halafu kuna mijitu ya Arsenal bado inanilaumu kukimbia majanga ?.
Nakala: Mbu Nzi Mentor Belo proNDO BAK Balantanda TUJITEGEMEE Kitoabu Konaball mfarisayo adolay Ngongoseke
jamani hivi hii sio photoshop?? maanake huyu mzee uwezo wa kupiga sarakasi kautoa wapi??? hii EPL itamuua huyu babu