Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Ngongo.
Mimi sikulaum inauma sana kuwa na kocha mpuuzi kiasi hiki, juzi tu champ leage dak30 za mwisho watu wanarudisha bao
3 haikubaliki, Jana mijitu imechoka katikati kila mtu anaona lakini hafanyi mabadiliko tulipochapwa lapili eti anafanya sub
jamaa aliniboa nikazima kishumbuzi cha DSTV badala ya kubadilisha channel - yaani nilichanganyikiwa.
Lakini mkuu mapenzi yapo rohoni, utahama katika kauli na maelezo lakini moyoni utabakia Asernal - kama ipo moyoni.
Copy BAK , everlenk
Hope hizi mechi mbili zimekutuliza moyo.....
Haswaa honey, ninafaraja kubwa moyoni japo uhakika wa kudum katika furaha haupo.
Hahahaha!! Pole sana hivyo hivyo kibishi msonge mbele
Wanasema ukichaa huwa unatulia tu hauponi
Inaoneka dhahir wewe ni shabik wa man u ila baada ya kuvutiwa na michezo mizur iliyopita ya arsenal ukaamua kudandia treni, nenda zako tuache na ARSENAL yetu. ARSENAL 4EVER
Ha ha ha ha Mr. Mangi acha hizo jana uliangalia mpira au ulikuwa umelala ?.Monaco walikuwa wanawakimbiza Arsenal utadhani watoto wadogo.Nilikuwa siwapendi Man Utd jinsi walivyokuwa wakizichapa timu nyingine ila uzalendo ukanishinda nikaamua kwa hiyari kujiunga na timu ya washindi.