Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

28B5318A00000578-3083018-Arsenal_also_have_bad_memories_of_Old_Trafford_with_their_2011_8-a-10_1431690225079.jpg


😛eep:
 
Ngongo bado upo Manchester United au ulirudi arsenal??
 
Last edited by a moderator:
Achana na ugnjwa wa moyo huo utakuja kufa bure......arsenal sio kabila kwamba huwezi kubadilisha
 
Process ya kwanza lazima uwe karibu na hospital ya magonjwa ya moyo.Jiunge na mfuko wa bima ya afya....

Nataka kuihama man utd kwenda arsenal. Nipeni process
 
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners.

[1] Kukwepa magonjwa ya moyo.

[2] Imeshindwa kutwaa kikombe chochote kwa muda mrefu sana.

[3] Arsenal imekuwa gulio la kuuza wachezaji wake mahiri kwa Club nyingine

Baada ya kutafakari kwa kinaa na bila kushawishiwa au kulazimishwa na mtu au kikundi chochote nimeamua kujiunga na Club ya Manchester United yenye kutumia uwanja Old Trafold.Zipo sababu kibao lakini nitazitaja chache.

[1] Manchester United inaongozwa na manager mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wote wa UK.

[2] Manchester United imechukua ubingwa wa ligi kuu ya UK mara 19,timu inayoikaribia ni Liverpool pekee yake imechukua ubingwa mar 18 tu.

[3] Manchester United inakaribia kuweka rekodi mpya kwa kuchukua ubingwa mara 20, mpaka leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya point 12.

[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

[5] Mwaka 1999 iliweka historia kwa kuchukua vikombe vitatu.Ubingwa wa ulaya.ubingwa wa Uk na Kombe la ligi.

[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu, wapole na wenye kujua kuchambua soka. Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.

Wapenzi wa Arsenal mtanisamehe sana kuhama club ni jambo la kawaida kwa mashabiki kama ilivyo kawaida kwa wachezaji. Siwezi kuendelea kusononeka hapa duniania kisa kupenda Club mbovu.

Nakala: Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK Rejao Viper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya

Huna madhara hata ukiacha ingawa wewe si arsenal,,
 
Nakwambia mimi nilikuwa Arsenal ukitaka ushahidi muulize Wacha1 tulilia wote Man walipotutandika goli 8 BAK rubaman Mentor ndio usisema wiki nzima nilikuwa nawafariji hata kula walikuwa hawawezi kabisa.

Huna madhara hata ukiacha ingawa wewe si arsenal,,
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaha lol! hujui kupenda wewe Ngongo ungekuwa unajua kupenda usingehama Gunners. Raha ya kupenda ni pale unapofurahia ushindi na kusononeka pale mnapofanya vibaya. Hakuna timu hapa duniani ambayo inashinda kila leo. Vipi sasa ule mpango wako wa kuhamia Chelsea msimu ujao umeishia wapi? Hahahahahah lol! Dongo hiloooo. Karibu tena Gunners tutakupokea kwa mikono miwili weye mwana mpotevu na kukufanyia sherehe kubwa sana.

Nakwambia mimi nilikuwa Arsenal ukitaka ushahidi muulize Wacha1 tulilia wote Man walipotutandika goli 8 BAK rubaman Mentor ndio usisema wiki nzima nilikuwa nawafariji hata kula walikuwa hawawezi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kile kichapo cha goli 8 kama si kutumia umahiri wangu Wacha1 alikuwa anakimbilia sumu nikaona duh isiwe taabu ngoja nihame chama.

Hahahahahahaha lol! hujui kupenda wewe Ngongo ungekuwa unajua kupenda usingehama Gunners. Raha ya kupenda ni pale unapofurahia ushindi na kusononeka pale mnapofanya vibaya. Hakuna timu hapa duniani ambayo inashinda kila leo. Vipi sasa ule mpango wako wa kuhamia Chelsea msimu ujao umeishia wapi? Hahahahahah lol! Dongo hiloooo. Karibu tena Gunners tutakupokea kwa mikono miwili weye mwana mpotevu na kukufanyia sherehe kubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaha lol! ila inakosesha raha Mkuu hata ikiwa goli moja tu kufungwa ni kufungwa tu, ngoja siku mtundikwe goli nane kama hutarudi Gunners weye!

Mkuu kile kichapo cha goli 8 kama si kutumia umahiri wangu Wacha1 alikuwa anakimbilia sumu nikaona duh isiwe taabu ngoja nihame chama.
 
Hahahahahahaha lol! ila inakosesha raha Mkuu hata ikiwa goli moja tu kufungwa ni kufungwa tu, ngoja siku mtundikwe goli nane kama hutarudi Gunners weye!

Inategemea unapigwa hizo goli 8 na nani. Tulipigwa goli 6-1 na man city ikauma ila tukasahau na ndio huo mwaka man city wakachukua ubingwa dakika ya 93. Uzuri wa United ni kwamba pamoja na kufungwa ila makombe yanatufanya tusahau maumivu yote.
 
Process ya kwanza lazima uwe karibu na hospital ya magonjwa ya moyo.Jiunge na mfuko wa bima ya afya....

Nimenenepa sana, nataka kukonda. Nitahamia arsenal kuanzia msimu ujao ukianza.
 
Kufungwa ni kufungwa tu whether una makombe au huna makombe. Mngejiliwaza "sisi tuna makombe acha tufungwe tu" na hivyo kuendelea na yule kocha mliyemtimua MORE NO AKA MOYES

Inategemea unapigwa hizo goli 8 na nani. Tulipigwa goli 6-1 na man city ikauma ila tukasahau na ndio huo mwaka man city wakachukua ubingwa dakika ya 93. Uzuri wa United ni kwamba pamoja na kufungwa ila makombe yanatufanya tusahau maumivu yote.
 
wee ndo Game Theory????
just being curious!! Whoever you are, utakuja kula matapishi yako si muda mrefu, na ninaamini nafsi inakusuta mpaka leo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom