Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

wewe sio shabikiiiiiiiiiii

yaani wewe ni shabiki fekiiiiiiiiiiiiiiiiii

mashabiki wa kweli hawahami timu yaho hata iweje ndio maana timu za hata madaraja madogo zina mashabiki na makombe hawana pia.

Duh wewe softiiiiiiiii ndugu wewe, mwanaume awe mgumu jamani
 
lol! Sema umekosea hapo ulitaka kuandika Arsenal najua ni mshabiki wa miaka mingi sasa hata kile kiwalo cha gunners ukikivaa kinakupendeza mno!!! 🙂🙂

teh teh tehhhhh, hata mimi nahamia airtel, lol!
 
Wakuu nimeamua kwa hiyari yangu na pasipo kulazimishwa na mtu yoyote kuitosa club ya Arsenal.Nina sababu nyingi za kuitosa The Gunners.

[1] Kukwepa magonjwa ya moyo.

[2] Imeshindwa kutwaa kikombe chochote kwa muda mrefu sana.

[3] Arsenal imekuwa gulio la kuuza wachezaji wake mahiri kwa Club nyingine

Baada ya kutafakari kwa kinaa na bila kushawishiwa au kulazimishwa na mtu au kikundi chochote nimeamua kujiunga na Club ya Manchester United yenye kutumia uwanja Old Trafold.Zipo sababu kibao lakini nitazitaja chache.

[1] Manchester United inaongozwa na manager mwenye mafanikio makubwa kuliko makocha wote wa UK.

[2] Manchester United imechukua ubingwa wa ligi kuu ya UK mara 19,timu inayoikaribia ni Liverpool pekee yake imechukua ubingwa mar 18 tu.

[3] Manchester United inakaribia kuweka rekodi mpya kwa kuchukua ubingwa mara 20, mpaka leo hii inaongoza ligi kwa tofauti ya point 12.

[4] Ukiishabikia Mancheter United uwezekano wa kupatwa na magonjwa ya moyo na kisukari ni mdogo sana.Kila wakati una kuwa ni mtu wa kucheka na kufurahia maisha duniani.

[5] Mwaka 1999 iliweka historia kwa kuchukua vikombe vitatu.Ubingwa wa ulaya.ubingwa wa Uk na Kombe la ligi.

[6] Mashabiki wa Manchester United ni wakarimu, wapole na wenye kujua kuchambua soka. Sifa hizo zinanihakikishia kwamba nitapokelewa vizuri.

Wapenzi wa Arsenal mtanisamehe sana kuhama club ni jambo la kawaida kwa mashabiki kama ilivyo kawaida kwa wachezaji. Siwezi kuendelea kusononeka hapa duniania kisa kupenda Club mbovu.

Nakala: Wacha1 Idimi Belo Steve Dii Mphamvu Dark City gfsonwin The Boss BAK Rejao Viper mfarisayo MwafrikaHalisi Kibunango Maxence Melo EMT Balantanda Mwita Maranya

kwaher naakutakia maisha mema.....
 
lol! Sema umekosea hapo ulitaka kuandika Arsenal najua ni mshabiki wa miaka mingi sasa hata kile kiwalo cha gunners ukikivaa kinakupendeza mno!!! 🙂🙂
ha haaa, mshabiki kwa lazima, lol!
kila unakogeukia "The gunners", kuna choice hapo kweli?:A S shade:
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Duh mzurimie sababu zote nilizozitaja bado unataka nibaki Arsenal kweli duniani kuna maajabu.

wewe sio shabikiiiiiiiiiii

yaani wewe ni shabiki fekiiiiiiiiiiiiiiiiii

mashabiki wa kweli hawahami timu yaho hata iweje ndio maana timu za hata madaraja madogo zina mashabiki na makombe hawana pia.

Duh wewe softiiiiiiiii ndugu wewe, mwanaume awe mgumu jamani
 
Last edited by a moderator:
Eti umevalishwa kwa lazima lol! Wakati kivazi kinakutoa ile mbaya 🙂🙂

ha haaa....
ila rafiki unajua upinzani ndo mpango mzima, hata kama unavalishwa kivazi cha the gunners kilazima
 
Ngongo Dah! Pamoja na sababu tele ambazo zinaashiria kutojiami na kukosa uvumilivu na pasipo shaka kutojijua... Nakupa pongezi..Mbaya zaidi misimamo yako unaweza kuifananisha na yule dada wa bongo fleva ambaye aliingia CCM kwa kishindo na sasa anajijutia...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ngongo hukuwa na mapenzi ya kweli kwa Arsenal. Wewe ni wale washabiki wanaopenda timu ambazo zinakuwa mabingwa tu, timu ikianza kusuasua unasepa haraka sana. Kila la heri na MANU ila msimu ujao ukiona wanasuasua sitashangaa ukitutaarifu kwamba umeamua kuhamia MANC lol!!! Hongera kwa ubingwa

Good day 🙂
sasa Ngongo leo ndio utajua Aseno Wenga ni tawi la Man U kwa mara ya kwanza toka uende man u unafurahia kama Rvp kuifunga timu yako ya zamani
 
Mkuu Ngongo, sababu zote zina majibu Old Traford. Karibu kwa wajanja
 
Glory hunter huyo... sijui saivi atashsbikia timu gani... labda aende Liverpool..
 
Natumaini jamaa anajutia uamuzi wake... jamaa anajaribu kuomba arushiwe boya baada ya kuruka kutoka kwenye MV Gunners!
 
Wakuu mtakufa kwa roho zenu mbaya subirini hadi mwezi 5 Man U itakuwa imekaa katika nafasi yake stahiki ha ha ha ha.Arsenal na Liverpool zimetangulia na baskeli ya mbao wakifika kwenye mlima.........


How's life at united mkuu ... Hehehehe ...

Cc Wacha1 BAK Nzi Rejao

Glory hunter huyo... sijui saivi atashsbikia timu gani... labda aende Liverpool..

Natumaini jamaa anajutia uamuzi wake... jamaa anajaribu kuomba arushiwe boya baada ya kuruka kutoka kwenye MV Gunners!
 
we kwanza shabiki wa lipuli chini ya nsajigwa so cjapatwa sana na mshtuko kuona hii thread yako lkn pia nadhani umeacha kushabikia gunnerz kwa manufaa yako tuachie AR53NAL yetu kaa pembeni
 
Back
Top Bottom