Nimeacha kula kwasasa ili niweze kuexport save pesa

Nimeacha kula kwasasa ili niweze kuexport save pesa

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Nimekuja kugundua ya kwamba kula chakula Mara kwa Mara kunamaliza pesa aisee mpaka najuta Kwanini nakula chakula Kwahiyo nimeamua kujizuia kula chakula Asubuhi, mchana na Jioni au usiku ili nituze pesa zifikie kiwango Fulani ndipo nitaanza kula

Kwanza kula kunapoteza muda,muda ambao Mimi ningetumia kutafuta pesa au kufanya mambo mengine mie nahangaika na kula tu Huu si Ujinga Huu.
 
Nimekuja kugundua ya kwamba kula chakula Mara kwa Mara kunamaliza pesa aisee mpaka najuta Kwanini nakula chakula Kwahiyo nimeamua kujizuia kula chakula Asubuhi, mchana na Jioni au usiku ili nituze pesa zifikie kiwango Fulani ndipo nitaanza kula

Kwanza kula kunapoteza muda,muda ambao Mimi ningetumia kutafuta pesa au kufanya mambo mengine mie nahangaika na kula tu Huu si Ujinga Huu.
Uwongo huwezi kuacha kula,anyway umekula?
 
Ukitaka kusave pesa acha matumizi yasiyo ya lazima.....Kula ni lazima ila unakula nini? Mimi naona chakula akimalizi kitu kama upo single....chai ya ofisini kwenye dispensa na chapati bili maana yake ni Tsh 600 ,mchana unaweza ukaskip ukaja kula usiku wali wa Buku mbili.

Vitu vinavyoteketeza pesa ni starehe tu ,vitu visivyo vya lazima ambavyo unaweza usivifanye na ukaishi fresh.
 
Kula kunamaliza pesa we 24/7 kwani unakula Gran Melia au?

Kula hii hii ya ugali nyama choma inamalizaje pesa? Hii kula ya supu chapati 2? 😄😄

Zisave, acha kula upate madonda ya tumbo ufe. Hizo saving zako tutapikia pilau msibani kwako
 
Nimekuja kugundua ya kwamba kula chakula Mara kwa Mara kunamaliza pesa aisee mpaka najuta Kwanini nakula chakula Kwahiyo nimeamua kujizuia kula chakula Asubuhi, mchana na Jioni au usiku ili nituze pesa zifikie kiwango Fulani ndipo nitaanza kula

Kwanza kula kunapoteza muda,muda ambao Mimi ningetumia kutafuta pesa au kufanya mambo mengine mie nahangaika na kula tu Huu si Ujinga Huu.
Nitakuuanganisha na jamaa mmoja kama hutajali
Yeye atakufungia mtambo mmoja mwilini mwako kwa 1mill utakuwa unatumia hewa tuu 😊
 
Ukitaka kusave pesa acha matumizi yasiyo ya lazima.....Kula ni lazima ila unakula nini? Mimi naona chakula akimalizi kitu kama upo single....chai ya ofisini kwenye dispensa na chapati bili maana yake ni Tsh 600 ,mchana unaweza ukaskip ukaja kula usiku wali wa Buku mbili.

Vitu vinavyoteketeza pesa ni starehe tu ,vitu visivyo vya lazima ambavyo unaweza usivifanye na ukaishi fresh.
Watumishi naskia hawana dispenser 😁
 
Nimekuja kugundua ya kwamba kula chakula Mara kwa Mara kunamaliza pesa aisee mpaka najuta Kwanini nakula chakula Kwahiyo nimeamua kujizuia kula chakula Asubuhi, mchana na Jioni au usiku ili nituze pesa zifikie kiwango Fulani ndipo nitaanza kula

Kwanza kula kunapoteza muda,muda ambao Mimi ningetumia kutafuta pesa au kufanya mambo mengine mie nahangaika na kula tu Huu si Ujinga Huu.
angalia usije kujamba hewa kuvu kwa kukosa harufu ya chakula
 
Nimekuja kugundua ya kwamba kula chakula Mara kwa Mara kunamaliza pesa aisee mpaka najuta Kwanini nakula chakula Kwahiyo nimeamua kujizuia kula chakula Asubuhi, mchana na Jioni au usiku ili nituze pesa zifikie kiwango Fulani ndipo nitaanza kula

Kwanza kula kunapoteza muda,muda ambao Mimi ningetumia kutafuta pesa au kufanya mambo mengine mie nahangaika na kula tu Huu si Ujinga Huu.
Huwezi kuacha kula labda upunguze idadi ya milo kwa siku, tunatafuta pesa mchana na usiku ili tule, tuvae na tuishi
 
Nimekuja kugundua ya kwamba kula chakula Mara kwa Mara kunamaliza pesa aisee mpaka najuta Kwanini nakula chakula Kwahiyo nimeamua kujizuia kula chakula Asubuhi, mchana na Jioni au usiku ili nituze pesa zifikie kiwango Fulani ndipo nitaanza kula

Kwanza kula kunapoteza muda,muda ambao Mimi ningetumia kutafuta pesa au kufanya mambo mengine mie nahangaika na kula tu Huu si Ujinga Huu.
Enjoy mkuu vunja mifupa wakati meno iko.
 
Kula kunamaliza pesa we 24/7 kwani unakula Gran Melia au?

Kula hii hii ya ugali nyama choma inamalizaje pesa? Hii kula ya supu chapati 2? 😄😄

Zisave, acha kula upate madonda ya tumbo ufe. Hizo saving zako tutapikia pilau msibani kwako
Wife unapenda kula yan usngekoment huu uz ngeshangaa
 
anza kula viazi na magimbi mbona bei chee tu

Na vinakaa tumboni kwa muda mrefu sanaaa
 
Back
Top Bottom