njombe boy
Member
- Nov 14, 2015
- 29
- 2
Nikiwa na akili zangu timamu kabisa wala sijashawishiwa na mtu yoyote yule, kwa aibu hii tuliyoipata leo toka kwa Algeria, naacha kushabikia timu ya taifa, kutiana presha sipendi tena, japo nitaonekana sio Mzalendo ila potelea mbali.
we acha upuuzi ww, unaacha kuishabkia stars et kisa imefungwa 7-0.
mbna brazil alpgwa gol hzo na ujerumani tena kwenye ardhi yake!!
Ulimbukeni wa mawazo Yako