KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Kichekesho ni kua mtoa uzi unasikiliza wasafi kwA ajili ya serious issues
Wasafi imeji-dubb kama stesheni ya entertainment
Wasafi imeji-dubb kama stesheni ya entertainment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitenge nasikia hayuko wasafi tena.Chumvi na ndimu, wananifurahisha Sana kwenye magazeti, huwezi penda Kila kitu na huwezi pendwa na Kila Mtu, Mimi huwa naongeza na sauti kipindi cha chumvi na ndimu na michezo, Sasa walivyoanza kuhama hama sijui nisikilize ipi
Mtu kalipia tangazo la biashara yake sio serious issue hiyo? We veepe. Watu wenye hela za kununua hizo bidhaa sio hao anaowalenga zembwela kwenye komedi zake. Watu wenye uwezo wa kufanya manunuzi wanaanzia 40+, hawa hawapendi mahoka yaliyopitiliza, they have so many fish to fryKichekesho ni kua mtoa uzi unasikiliza wasafi kwA ajili ya serious issues
Wasafi imeji-dubb kama stesheni ya entertainment
ww auto humuelwZimbwela bwana.
Amenifanya nimeacha kusikiliza Redio ya Wasafi asubuhi.
Huyu jamaa anafanya comedy hata kwenye serious issues, anatengeneza kelele masikioni na kupoteza muda wa wasikilizaji wake akidhani kuwa wasikilizaji wako tayari kusikiliza kila kitu anachosema na kufanya kwenye studio, ananiboa.
Hata bidhaa anazozitangaza ninaziona kama zisizo na ubora kwa namna anavyopitiliza kuzinadi. Anasahau kuwa "kizuri kinajiuza na kibaya kinajitembeza na kupambwa mno".
Anachohitaji mtu kwenye bidhaa ni kujua jina la bidhaa, aina na ubora wake dhidi ya bidhaa nyingine zilizoko kwenye soko ova!
Sijui kama hii inanipata mimi tu.
Katumbuliwa kama ManaraKitenge nasikia hayuko wasafi tena.
umekula kwanza?Umef
Unajuaje mko wengi? Yaani wewe na mkeo ndio wengi unaosema?
Mi pia namkubali zembwela....Huwezi kupendwa na kila mtu nadhani tunao mpenda ni wengi kuliko nyie
Tena DSJ ana Diploma huyo ninadhani.Zembwela alijiendeleza kama sijakosea
umeona binamu. Anavitu fulani hivi ukomsikiliza vizuriMi pia namkubali zembwela....
Yeah huwa ana busara zake fulani nazipenda....umeona binamu. Anavitu fulani hivi ukomsikiliza vizuri
Zrmbwela ...anaupeo mdogo,Sauti mbaya Sijui alifikaje hapo alipo aisee🙄Tangia atoke East Africa radio sijawahi kumsikiliza huko wasafi.
Bora mpokiUnategemea nini kwa watangazaji wenye elimu ya darasa la 7 Zembwela, Mpoki, Steve Nyerere etc