Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatumsagii kunguni, lakini ajue kuwa yeye ni mzee na sauti ya kizee haiwezi kuvutia wanyoa denge kama anavyojaribu kudhani. Sisi wazee wenzake tunaomsikiliza anatuboa kishenzi. Wasafi ni redio ya vijana awaache vijana wazungumze na vijana wenzie kwa lugha ya vijana.Duh bongo uchawi mwingi wanatamani ushuke chat kubabeki hii nchi sio..wananchi wake maneno mengi kazi kidogo
Wanakuwaga wamelewaTatizo naonaga kama anatumia nguvu nyingi kupita kias mpaka inakuwa kero kwa msikilizaji,
Mpaka nabadili station nyingine maana
zile kelele nais kama yuko mitungi,
niliacha kusikiliza kipindi cha magazeti bado yupo na Kitenge,
Kumbe tuko wengi jamaa anauzi sana kelele mpaka keroZimbwela bwana.
Amenifanya nimeacha kusikiliza Redio ya Wasafi asubuhi.
Huyu jamaa anafanya comedy hata kwenye serious issues, anatengeneza kelele masikioni na kupoteza muda wa wasikilizaji wake akidhani kuwa wasikilizaji wako tayari kusikiliza kila kitu anachosema na kufanya kwenye studio, ananiboa.
Hata bidhaa anazozitangaza ninaziona kama zisizo na ubora kwa namna anavyopitiliza kuzinadi. Anasahau kuwa "kizuri kinajiuza na kibaya kinajitembeza na kupambwa mno".
Anachohitaji mtu kwenye bidhaa ni kujua jina la bidhaa, aina na ubora wake dhidi ya bidhaa nyingine zilizoko kwenye soko ova!
Sijui kama hii inanipata mimi tu.
Amerudi tena Efm...Katumbuliwa kama Manara
Sijawahi kukupinga ila kwa hili hapana nakupinga waziwazi tena kuna kina mpoki Steve nyenyere sijui mc pilipili na yule muigizaji wa old fashion alikuwaga na kina Kanumba kaole group mfupi mfupi hivi yaani daah!!Mi pia namkubali zembwela....
Yaani kuvigundua hivyo vitu mpaka umsikilize vizuri!!!umeona binamu. Anavitu fulani hivi ukomsikiliza vizuri
Yaani kuvigundua hivyo vitu mpaka umsikilize vizuri!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wakiona hii comment yako watajisikia vibaya.Uchunguzi unaonesha wakitoka mabaamedi kwa kuhamahama kazi wanafuatiwa na watangazaji wa radio.
Itisha maandamano ya amani ya kupinga namna anavyosifia matangazoZimbwela bwana.
Amenifanya nimeacha kusikiliza Redio ya Wasafi asubuhi.
Huyu jamaa anafanya comedy hata kwenye serious issues, anatengeneza kelele masikioni na kupoteza muda wa wasikilizaji wake akidhani kuwa wasikilizaji wako tayari kusikiliza kila kitu anachosema na kufanya kwenye studio, ananiboa.
Hata bidhaa anazozitangaza ninaziona kama zisizo na ubora kwa namna anavyopitiliza kuzinadi. Anasahau kuwa "kizuri kinajiuza na kibaya kinajitembeza na kupambwa mno".
Anachohitaji mtu kwenye bidhaa ni kujua jina la bidhaa, aina na ubora wake dhidi ya bidhaa nyingine zilizoko kwenye soko ova!
Sijui kama hii inanipata mimi tu.
Bora mpoki
Kwamba kisichokufurahisha wewe ndio kila mtu hakimfurahishi????Sijawahi kukupinga ila kwa hili hapana nakupinga waziwazi tena kuna kina mpoki Steve nyenyere sijui mc pilipili na yule muigizaji wa old fashion alikuwaga na kina Kanumba kaole group mfupi mfupi hivi yaani daah!!
Bado unaakili za radio Zama hizi?!Zimbwela bwana.
Amenifanya nimeacha kusikiliza Redio ya Wasafi asubuhi.
Huyu jamaa anafanya comedy hata kwenye serious issues, anatengeneza kelele masikioni na kupoteza muda wa wasikilizaji wake akidhani kuwa wasikilizaji wako tayari kusikiliza kila kitu anachosema na kufanya kwenye studio, ananiboa.
Hata bidhaa anazozitangaza ninaziona kama zisizo na ubora kwa namna anavyopitiliza kuzinadi. Anasahau kuwa "kizuri kinajiuza na kibaya kinajitembeza na kupambwa mno".
Anachohitaji mtu kwenye bidhaa ni kujua jina la bidhaa, aina na ubora wake dhidi ya bidhaa nyingine zilizoko kwenye soko ova!
Sijui kama hii inanipata mimi tu.
Yani huyo jamaa ndio Hamna anachoongea zaidi ya pumba.Bureeee kabisa yule,anachojua yeye ni utani wa kijinga jinga unaolekea kwny kum harass mtu.
Kuwa busy na kuperuzi humu JF huku ukiendelea kusubiria kipindi kipyaChumvi na ndimu, wananifurahisha Sana kwenye magazeti, huwezi penda Kila kitu na huwezi pendwa na Kila Mtu, Mimi huwa naongeza na sauti kipindi cha chumvi na ndimu na michezo, Sasa walivyoanza kuhama hama sijui nisikilize ipi