Nimeacha kusikiliza Wasafi Fm kwa sababu ya Zembwela

Chumvi na ndimu, wananifurahisha Sana kwenye magazeti, huwezi penda Kila kitu na huwezi pendwa na Kila Mtu, Mimi huwa naongeza na sauti kipindi cha chumvi na ndimu na michezo, Sasa walivyoanza kuhama hama sijui nisikilize ipi
Kitenge nasikia hayuko wasafi tena.
 
Kichekesho ni kua mtoa uzi unasikiliza wasafi kwA ajili ya serious issues
Wasafi imeji-dubb kama stesheni ya entertainment
Mtu kalipia tangazo la biashara yake sio serious issue hiyo? We veepe. Watu wenye hela za kununua hizo bidhaa sio hao anaowalenga zembwela kwenye komedi zake. Watu wenye uwezo wa kufanya manunuzi wanaanzia 40+, hawa hawapendi mahoka yaliyopitiliza, they have so many fish to fry
 
Duh bongo uchawi mwingi wanatamani ushuke chat kubabeki hii nchi sio..wananchi wake maneno mengi kazi kidogo
 
labda anataka wadau wapande dau na yeye atimuke zake.
 
ww auto humuelw
 
Acha wivu ......anyway ww ni mwanaume wa dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…