Nimeacha kwenda kumsalimia nyumbani mdogo wangu kisa mambo haya ya kina katibu

Mm mwnyw hapa kuna demu nampanga kesho tukakulane, yn naenda kununua gonjwa la zinaa kwa kupenda
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Uzuri umeshajiandaa kisaikolojia mkuu,sio Ile unaamka asubuhi huna hili wala lile unashangaa tu Mbona hii mbooh Leo Ina modifications sijazielewa kabisa πŸ˜„πŸ˜„
 
Chanzo comradhi
 
Hebu fafanua hii Mshana Jr
Huwa tunadhani hawana hisia kama sisi
Huwa tunadhani hawana maumivu kama sisi
Huwa tunadhani hawana wivu kama sisi
Wengi huwachukulia kama chombo cha starehe na kutimiza hamu na mahitaji ya mwanaume
Hawa ni viumbe kama sisi tofauti ni jinsia tuu
Wanahitaji upendo, care, heshima na kujaliwa utu wao... Ni wasehevu sana tuu lakini wakichoka wamechoka
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Uzuri umeshajiandaa kisaikolojia mkuu,sio Ile unaamka asubuhi huna hili wala lile unashangaa tu Mbona hii mbooh Leo Ina modifications sijazielewa kabisa πŸ˜„πŸ˜„
Hapa naandaa na pesa ya emergency mana lolote linaweza kutokea, hawa waschana wazuri sio wa kuwaamini sana hasa kwenye magonjwa
 
Thread ifungwe twende kwenye kula kimasihara
 

Nimekuelewa. Uko sahihi mkuu

Ijapokuwa wanawake wengine ni pasua kichwa pia
 
Nimeanza kukupenda naomba unioe mke wa pili
Wanaume smart na matured huwa alwys wasema ukweli.... waangalie wale wenzangu na mimi sasa...kuutwa kufungulia nyuzi wanawake kulia lia tu...hovyo sana!
 
Mkuu pole sana. Mimi ndani ya masaa mawili yajayo naenda kumpa taraka mke wangu niliyempenda hii dunia ina siri nyingi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…