Nimeacha Pombe nimeacha Kununua Nyapu,,, lakini hela nayo imetafuta pa kupotelea.

Mm nilibeti siku moja nikaliwa nikajaribu tena na tena na tena na tena, nikaliwa nikaa wiki 3 siku beti baadaye nikaenda kubeti nikala milioni 4 sikuamini macho yangu, mhindi alinimaindi sana akafoka sana ila baada ya hapo siku beti tena mpaka leo.
Hata mie nitastaafu kubet nikila kama wewe yaani unapata kiinua Mgongo,mafao mapema
 
Siku nikiacha papuchi nitahama dunia. Hakuna kitu kitamu katika dunia hii utaishi bila hiyo kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…