Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
- Thread starter
-
- #21
Hata mie nitastaafu kubet nikila kama wewe yaani unapata kiinua Mgongo,mafao mapemaMm nilibeti siku moja nikaliwa nikajaribu tena na tena na tena na tena, nikaliwa nikaa wiki 3 siku beti baadaye nikaenda kubeti nikala milioni 4 sikuamini macho yangu, mhindi alinimaindi sana akafoka sana ila baada ya hapo siku beti tena mpaka leo.
Kitungi inatosha Ila betting naona inanitia stress aiseeeBora uendelee na tungi uongeze mapato TRA kuliko betting unakuza tu uchumi wa kanjibai
Aiseeee ni shidahuko ulipoingia ni nuksi bora urudi ulevini tu utatoka kitambi
Siku nikiacha papuchi nitahama dunia. Hakuna kitu kitamu katika dunia hii utaishi bila hiyo kitu.Pombe Na Mbunye vilikuwa vinanicost sana.Lakini Toka nimeacha hivyo vitu nashangaa nimeshikwa Na Ulevi mbaya wa Kubet. Kubet kunatafuna hela kinoma.Unaliwa Leo hela unasema kesho sichezi unashangaa ukipata hela unasema ngoja nikomboe hela zangu.Unaliwa tena.Kanji anatajirika sisi tunazidi kupukutika.Tanzania ya Viwonder
Chukulia moja ya starehe ambayo ni kawaida sana, usichukulie papuchi kama dhahabu.Siku nikiacha papuchi nitahama dunia. Hakuna kitu kitamu katika dunia hii utaishi bila hiyo kitu.