Nimeacha rasmi kuishabikia Yanga SC

Nimeacha rasmi kuishabikia Yanga SC

Habarini za mchana wakuu,

Mimi kwa ridhaa yangu bila kushawishiwa wala kushurutishwa na mtu nimeamua kufanya maamuzi sahihi nikiwa na akili timamu kuwa NIMEACHA RASMI KUSHABIKIA YANGA kutokana na sababu zifuatazo;

1. Timu haina future, kuanzia viongozi mpaka wachezaji hawajui wanataka nini, na hata mchakato wao wa mabadiliko nina uhakika 99% hautofanikiwa kutokana na uongozi uliopo kutokujitambua na kutokufahamu mapema kuwa hawa GSM ni wapigaji kama wapigaji wengine.

Suala la Morisson ni janja ya GSM kutaka kumuuza kwa watani zetu kinyemela ili wao wapige pesa bila klabu kufaidika na chochote,na hili ndilo kubwa linaniondoa YANGA,hapo tumepigwa changa la macho maana hakuna official contract kati ya yanga na Morrison,na huyu Morrison ana wanasheria wenye uelewa kuhusu mikataba ndio waliomsaidia kuvunja mikataba kote alipopitia Orlando Pirates,AS Vita n.k huku yeye akiibuka mshindi.

Lengo la Morrison halikuwa kuja kuchezea Yanga bali alikuwa anataka apate timu ambayo atakayocheza kwa kipindi kifupi ili aonekane na aweze kupata deals mbalimbali kwasababu huyu mchezaji alikuwa kijijini kwao huko Ghana kwa miezi zaidi ya minne hana timu hivyo kupata timu nzuri kwa maneno na video za utube ingekuwa ngumu sana kwake na hilo amefanikiwa kwa 100% huku akisaidiwa na wakala wake GSM,na hili lilitokea pia kwa MAKAMBO akiwa sambamba na wakala wake ZAHERA nafikiri mliona kilichotokea

Kiufupi hapo hakuna timu maana mtu yeyote anaweza leta mchezaji wake hapo ili aonekane kwa muda kisha anaondoka bila klabu kufaidika na chochote.

2.Timu inaendeshwa kihuni haina tofauti na timu za ndondo za mitaani,hapo kila mchezaji na bosi wake kuna wanaolipwa na pesa za bakuli na kuna wanaolipwa na pesa za GSM , yupo wapi Mo Banka? yupo wapi Tshishimbi? wote hawa wazima ila uongozi unatudanganya kuwa ni wagonjwa na hawataki kusema kweli kuwa wanadai stahiki zao,hata Morrison tuliambiwa mgonjwa kumbe aligoma kucheza akijua fika anajua wapi atawashika Yanga maana hana mkataba nao.

Kuna mengi sana ila nimeamua kuweka hayo mawili kwa ufupi , maana baada ya mechi ya jana kuisha nilikuwa sina raha kwanza tumekuwa watu wa kupata matokeo kwa bahatibahati tu,na mtu akisema kuwa tunabebwa pia ni haki yake,maana mechi mbili mfululizo tunapata point 1 kwa kupora na haikuwa haki yetu

Mechi ya Azam kiuhalisia ilitakiwa tufungwe na Mechi ya jana dhidi ya Namungo pia ilitakiwa pia tufungwe,mechi zote hizo tunashukuru marefa ,maana kama jana mpira ulikuwa ushaisha na dakika 5 za kuongeza pia ziliisha ila ni kama vile mwamuzi alikuwa anasubiri tusawazishe ili yeye amalize mpira na ninaamini tusingepata goli la puili katika dakika ile refa angechezesha mechi mpaka leo,na hii imekuwa sababu ya kupachikwa majina ya kero kila uchwao, na majina hayo yanaumiza kwelikweli.

Rasmi sasa nimeamua kuwa mshabiki wa SIMBA SC ili niepukane na kero zinazonikabili mawazo,hasira n.k
Huna tofauti na mwanamke anayejiuza baa, kila siku anakuwa na sababu ya kutafuta bwana mpya. Simba nako mhindi akizengua utahamia wapi tena?
 
Habarini za mchana wakuu,

Mimi kwa ridhaa yangu bila kushawishiwa wala kushurutishwa na mtu nimeamua kufanya maamuzi sahihi nikiwa na akili timamu kuwa NIMEACHA RASMI KUSHABIKIA YANGA kutokana na sababu zifuatazo;

1. Timu haina future, kuanzia viongozi mpaka wachezaji hawajui wanataka nini, na hata mchakato wao wa mabadiliko nina uhakika 99% hautofanikiwa kutokana na uongozi uliopo kutokujitambua na kutokufahamu mapema kuwa hawa GSM ni wapigaji kama wapigaji wengine.

Suala la Morisson ni janja ya GSM kutaka kumuuza kwa watani zetu kinyemela ili wao wapige pesa bila klabu kufaidika na chochote,na hili ndilo kubwa linaniondoa YANGA,hapo tumepigwa changa la macho maana hakuna official contract kati ya yanga na Morrison,na huyu Morrison ana wanasheria wenye uelewa kuhusu mikataba ndio waliomsaidia kuvunja mikataba kote alipopitia Orlando Pirates,AS Vita n.k huku yeye akiibuka mshindi.

Lengo la Morrison halikuwa kuja kuchezea Yanga bali alikuwa anataka apate timu ambayo atakayocheza kwa kipindi kifupi ili aonekane na aweze kupata deals mbalimbali kwasababu huyu mchezaji alikuwa kijijini kwao huko Ghana kwa miezi zaidi ya minne hana timu hivyo kupata timu nzuri kwa maneno na video za utube ingekuwa ngumu sana kwake na hilo amefanikiwa kwa 100% huku akisaidiwa na wakala wake GSM,na hili lilitokea pia kwa MAKAMBO akiwa sambamba na wakala wake ZAHERA nafikiri mliona kilichotokea

Kiufupi hapo hakuna timu maana mtu yeyote anaweza leta mchezaji wake hapo ili aonekane kwa muda kisha anaondoka bila klabu kufaidika na chochote.

2.Timu inaendeshwa kihuni haina tofauti na timu za ndondo za mitaani,hapo kila mchezaji na bosi wake kuna wanaolipwa na pesa za bakuli na kuna wanaolipwa na pesa za GSM , yupo wapi Mo Banka? yupo wapi Tshishimbi? wote hawa wazima ila uongozi unatudanganya kuwa ni wagonjwa na hawataki kusema kweli kuwa wanadai stahiki zao,hata Morrison tuliambiwa mgonjwa kumbe aligoma kucheza akijua fika anajua wapi atawashika Yanga maana hana mkataba nao.

Kuna mengi sana ila nimeamua kuweka hayo mawili kwa ufupi , maana baada ya mechi ya jana kuisha nilikuwa sina raha kwanza tumekuwa watu wa kupata matokeo kwa bahatibahati tu,na mtu akisema kuwa tunabebwa pia ni haki yake,maana mechi mbili mfululizo tunapata point 1 kwa kupora na haikuwa haki yetu

Mechi ya Azam kiuhalisia ilitakiwa tufungwe na Mechi ya jana dhidi ya Namungo pia ilitakiwa pia tufungwe,mechi zote hizo tunashukuru marefa ,maana kama jana mpira ulikuwa ushaisha na dakika 5 za kuongeza pia ziliisha ila ni kama vile mwamuzi alikuwa anasubiri tusawazishe ili yeye amalize mpira na ninaamini tusingepata goli la puili katika dakika ile refa angechezesha mechi mpaka leo,na hii imekuwa sababu ya kupachikwa majina ya kero kila uchwao, na majina hayo yanaumiza kwelikweli.

Rasmi sasa nimeamua kuwa mshabiki wa SIMBA SC ili niepukane na kero zinazonikabili mawazo,hasira n.k
Nenda mwana kwenda, mbumbumbu fc, rambirambi fc, mtegemea cha mo fc,
 
Kawadanyanye wapuuzi wenzako huko tangu lini ukawa Yanga wewe ?
Screenshot_20200625-234814.jpg
 
Msukule ni huyo Zeluzelu wenu aka Maalim wa Madrasa akiambiwa ukweli anakimbilia polisi [emoji2][emoji3][emoji848]
sawa, tatizo mpo kama misukule hata mambo yanayofanyika wazi hamuyaoni mpaka mpigwe bao la mgongo
 
[emoji23][emoji23]
Habarini za mchana wakuu,

Mimi kwa ridhaa yangu bila kushawishiwa wala kushurutishwa na mtu nimeamua kufanya maamuzi sahihi nikiwa na akili timamu kuwa NIMEACHA RASMI KUSHABIKIA YANGA kutokana na sababu zifuatazo;

1. Timu haina future, kuanzia viongozi mpaka wachezaji hawajui wanataka nini, na hata mchakato wao wa mabadiliko nina uhakika 99% hautofanikiwa kutokana na uongozi uliopo kutokujitambua na kutokufahamu mapema kuwa hawa GSM ni wapigaji kama wapigaji wengine.

Suala la Morisson ni janja ya GSM kutaka kumuuza kwa watani zetu kinyemela ili wao wapige pesa bila klabu kufaidika na chochote,na hili ndilo kubwa linaniondoa YANGA,hapo tumepigwa changa la macho maana hakuna official contract kati ya yanga na Morrison,na huyu Morrison ana wanasheria wenye uelewa kuhusu mikataba ndio waliomsaidia kuvunja mikataba kote alipopitia Orlando Pirates,AS Vita n.k huku yeye akiibuka mshindi.

Lengo la Morrison halikuwa kuja kuchezea Yanga bali alikuwa anataka apate timu ambayo atakayocheza kwa kipindi kifupi ili aonekane na aweze kupata deals mbalimbali kwasababu huyu mchezaji alikuwa kijijini kwao huko Ghana kwa miezi zaidi ya minne hana timu hivyo kupata timu nzuri kwa maneno na video za utube ingekuwa ngumu sana kwake na hilo amefanikiwa kwa 100% huku akisaidiwa na wakala wake GSM,na hili lilitokea pia kwa MAKAMBO akiwa sambamba na wakala wake ZAHERA nafikiri mliona kilichotokea

Kiufupi hapo hakuna timu maana mtu yeyote anaweza leta mchezaji wake hapo ili aonekane kwa muda kisha anaondoka bila klabu kufaidika na chochote.

2.Timu inaendeshwa kihuni haina tofauti na timu za ndondo za mitaani,hapo kila mchezaji na bosi wake kuna wanaolipwa na pesa za bakuli na kuna wanaolipwa na pesa za GSM , yupo wapi Mo Banka? yupo wapi Tshishimbi? wote hawa wazima ila uongozi unatudanganya kuwa ni wagonjwa na hawataki kusema kweli kuwa wanadai stahiki zao,hata Morrison tuliambiwa mgonjwa kumbe aligoma kucheza akijua fika anajua wapi atawashika Yanga maana hana mkataba nao.

Kuna mengi sana ila nimeamua kuweka hayo mawili kwa ufupi , maana baada ya mechi ya jana kuisha nilikuwa sina raha kwanza tumekuwa watu wa kupata matokeo kwa bahatibahati tu,na mtu akisema kuwa tunabebwa pia ni haki yake,maana mechi mbili mfululizo tunapata point 1 kwa kupora na haikuwa haki yetu

Mechi ya Azam kiuhalisia ilitakiwa tufungwe na Mechi ya jana dhidi ya Namungo pia ilitakiwa pia tufungwe,mechi zote hizo tunashukuru marefa ,maana kama jana mpira ulikuwa ushaisha na dakika 5 za kuongeza pia ziliisha ila ni kama vile mwamuzi alikuwa anasubiri tusawazishe ili yeye amalize mpira na ninaamini tusingepata goli la puili katika dakika ile refa angechezesha mechi mpaka leo,na hii imekuwa sababu ya kupachikwa majina ya kero kila uchwao, na majina hayo yanaumiza kwelikweli.

Rasmi sasa nimeamua kuwa mshabiki wa SIMBA SC ili niepukane na kero zinazonikabili mawazo,hasira n.k
Peleka uhaji manara ukakalie tako moja...Yanga Daima mbele...[emoji23][emoji23] kigogo2014 ashukuriwe
 
Huna tofauti na mwanamke anayejiuza baa, kila siku anakuwa na sababu ya kutafuta bwana mpya. Simba nako mhindi akizengua utahamia wapi tena?
baki wewe huko Uto,sio lazima wote tuwe Uto
 
Kawadanyanye wapuuzi wenzako huko tangu lini ukawa Yanga wewe ?View attachment 1488992
wewe ndio pumbavu la mwisho kabisa, hivi ukiwa shabiki basi ndio unakuwa kipofu? kwahiyo wewe hukubali kama hao watu wanajua?Manara mwenyewe anamsifiaga Tshishimbi, Morriso na mpaka katika kikosi chake kawaweka,ndio maana mimi nimeamua kuhama maana nyie hamjui mpira mnaendekeza ushabiki tu,mtu akifanya kizuri msifie
 
Yanga haina mashabiki kama wewe,wewe utakua ni shabiki wa JKT Ojoro tu,hamna kitu hapo.
Eti Yanga haina future,team wameshabikia babu zako hadi leo umekua mkubwa unasema team haina future,wewe si Yanga,wewe ni Tangatanga,yani utatangatanga tu.
 
Back
Top Bottom