Nimeachana na mpenzi wangu

Na hiyo ndio 'principle' ukipata majanga, atakayepambana ni mke wa ndoa
 
Umeenda kunywa pombe na mtu mwenye ujauzito wa miezi miwili?
 
Kwa wivu huo mkali juu yako,amini kashakuendea sana kwa Waganga huyu akuteke mazima.
Siku akikutana na Fundi wa kweli,unavunja Nyumba yako Mkuu.
Inawezekana mkuu, kwa sababu nimekuwa mwepesi sana wa kuchangia shughuli zake
 
Ila inavoonekana umeumia Sana alivokunyamazia mpaka ukalileta huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ