Nimeachana na mpenzi wangu

Home Boy unafeli sana sasa inajulikana kabisa hao viumbe wakiwa wajawazito wanakuwa na visirani sana kuna mwingine anataka vitumbua saa 6 usiku unaamka unazunguka nyuma ya nyumba unarudi unamwambia nimekosa anakuambia sawa anakuambia anataka chumvi unampa kaa na Mabroo ujifunze hapo umekurupuka sana
 
Nimetumia mbinu za kibaharia, kubana matumizi huko mbeleni
 
pombe hazijawaisha bado nyinyi
 
Huyu mwanamke ni mpuuzi sana, hebu nirushie namba yake inbox
 
Kwa sababu ana kizaigoti, atanicheki tu πŸ˜€
unajua ni habari njema sana hiyo kwa wanaume na wanawake wengi sana, wenye ndoa na wasio na ndoa....

kutafutana ni given,
Lazima mtatafutana tu kwasabu wewe unahitaji hicho kiunganisho alichonasa nawe vile vile unakihitaji mno hicho kiumbe....

by the way,
kila moja wenu akiketi chini na kutafakari kitu kilichowafarakanisha mtangundua ni useless kabisa...

na matokeo yake,
kwa hamu kubwa kila moja wenu atajikuta anatamani kuwasiliana na kukutana tena muinjoy pamoja πŸ’

yaani kutokuwasiliana kwenu kwa muda ni kama vile kichocheo au apateizer,

nakuhakikishia hii wiki haipiti ama wew au yeye moja wenu atamtafuta mwenzie, uvumilivu utagoma kuendelea πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…