BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Yaani kwanza mi mtu akishaanza izo mambo sijui umekula nini, unafanya nini mara sijui njoo nikulishe bla bla za ivo nachefukwa chap kwa haraka
Muhimu upate mwanamume anaekupenda, mwema, alietulia, alie karibu na Mungu wake, huyo ndie mwanaume haswaa. Hayo ya romantic sijui nini huwa mnayaokotea wapi lakini, mbona hayaendani na waafrika!! Wanawake wa sasa mnavituko mjuwe, na mnapenda kuiga iga tamaduni za nje! Mabinti wa sasa sio kama wa zamani walikua wakiishi kwa upendo na amani, na walidumu kweni ndoa zao. Na ukiangalia asilimia kubwa ya wasichana wa siku hizi huachwa sababu ya midomo, ujuaji n.k. Munatabu kweli kweli ninyi wakina dada.
Wakina dada, Ombeni sana mupate wanamume wema, waliotulia na walio karibu na Mungu.
kwa wakina kaka, Ombeni sana mupate wanawake wema, waliotulia na walio karibu na Mungu.