Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 345
- 548
- Thread starter
-
- #221
Sawa mkuu najitahidi komove maisha lazima yaendeleeUnajua nyie wanawake mkishauriwa mnaenda kufanya opposite, mtu kashakuonyesha kuwq wewe huna thamani kwake ya nini kuupa kiherehere moyo!?. It's better uumie utakuwa fine baada ya muda coz no love pains inadumu maisha, wounds heal. Inaonekana unampenda na anachukulia for granted, jitambue thamani yako na mapenzi yasibadilishe misimamo.
Man of the hour.
Ooh! Tuliachana mkuu japo kwa maumivu makali mno.. Kwa sasa nimeshapona naendelea na maisha mengineNi mwaka sasa mkuu,,, mrejesho tafadhali??
Ndo ilifana au ndio kila mtu aliangalia uelekeo wake
Pole dear... I hope you find a person to love and treat you rightOoh! Tuliachana mkuu japo kwa maumivu makali mno.. Kwa sasa nimeshapona naendelea na maisha mengine
Pole dear. Mlifanya mapenzi kabla ya ndoa?Ooh! Tuliachana mkuu japo kwa maumivu makali mno.. Kwa sasa nimeshapona naendelea na maisha mengine
Kuolewa kimya kimya ndo kitu gani hiko? Kwa tamaduni zetu lazima pande zote 2 zijuane otherwise anataka akuchakate tu akikuchoka akutimueAsante mkuu mimi nimekuwa na huo msimamo sasa ameamua kuniacha kisa tu sijakubali kuolewa kimyakimya pasipo kuwapa taarifa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti huyu muungwana sana. Kwa hiyo jamaa hajawahi kumchakata?Kuolewa kimya kimya ndo kitu gani hiko? Kwa tamaduni zetu lazima pande zote 2 zijuane otherwise anataka akuchakate tu akikuchoka akutimue
Asante ...nitampata aliye sahihi kwa uwezo wa mwenyezi Mungu.Pole dear... I hope you find a person to love and treat you right
Sioni tatizo kwa hilo.Kama mnapendana mkiamua sogea tuishi au tutambulishane yote ni sawa.Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!
Kwa upande wangu nimejaribu kumueleza kuwa siyo jambo la busara mimi kufanya hivyo nahofia wazazi wangu kusononeka (nitakosa baraka za wazazi)
Nimejaribu kumweleza tutambulishane rasmi tufunge ndoa simple tu isiyokuwa na shamrashamra ila amekuwa mgumu kuelewa.
Ameamua kuniacha kisa nimekataa kuolewa kimyakimya pasipo kuwaeleza wazazi kuwa nimepata mchumba.
Bado nampenda sana nifanyeje ili tuweze kufikia suluhu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulishaachana baada ya kupata maumivu yasiolezeka! Huyo mwanaume alikuja kuwapa mimba wasichana wawili mmoja akamlazimisha atoe mimba...hapo ndo nilipogundua kuwa sipendwi hata kidogoPole sana...
Ukikubali kuolewa kwa kificho, utaachika kwa kificho pia...
sasa huoni kama umeepukika na janga, yaani umempa option zote hataki na bado unamng'ang'ani??? huyo hakufai ! rudiana nae itakua ujinga wako na itakukostAsante mkuu mimi nimekuwa na huo msimamo sasa ameamua kuniacha kisa tu sijakubali kuolewa kimyakimya pasipo kuwapa taarifa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app