Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Hilo garimoshi limeshakwenda, maamuzi ni yako; ulikimbilie au utafute usafiri mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwann asifate utaratibu mkafunga ndoa rasm! Mambo ya kimya kimya kwenye ishu ya msingi kama hyo inaleta ukakasi ana nia gani.Labda kweli ametafuta kisingizio cha kuniacha. Ila alikuwa anasisitiza sana niolewe kimyakimya ila hili halikuniingia akilini
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa nitajitahidi kuongea naeMwanaume anayekupenda kweli hawezi kukwepa process wala kuogopa gharama, hapo jamaa yupo na ww ili siku ziende tu.
Alafu inaonekana wewe ndo unampenda zaidi, ukikubali huo ujinga kwanza atakudharau!!
NB: Ongea naye vizuri na uweke msimamo wako, mkishindwana njoo kwangu tuyajenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu siwezi kubadili msimamoSimamia msimamo wako kama kweli anakupenda itabidi afuate maamuzi yako.
Itanibidi nikubaliane na hali lakini siwezi kubadili msimamo kisa ndoa isiyo rasmiHilo garimoshi limeshakwenda, maamuzi ni yako; ulikimbilie au utafute usafiri mwingine.
Naamini hilo mkuu labda huyu alikuwa siyo mume wanguSasa kwann asifate utaratibu mkafunga ndoa rasm! Mambo ya kimya kimya kwenye ishu ya msingi kama hyo inaleta ukakasi ana nia gani.
Pole ila life must go on na wala usihuzunike umshukuru Mungu kwa yote, mume wako atakuja wakati sahihi ukifika.
Kwa sasa anasema hilo wazo la ndoa limeshamtoka hana tena mpango naloHuyo hakua anakupenda Wala, alikua anatafuta kisingizio Cha kukuacha tu ,alijua fika kwamba huwezi kukubaliana na Hilo jambo achana nae..hapo unaweza kukuta hata tayari kashavuta jiko lingine...shukuru umejua mapema.
Hili nalo linawezekana ila sijapata uhakikaAchana nae. Kuna kitu hukijui. Naona ana mwanamke mwingine alizaa nae kabla au wakati mko kwenye mauhusiano na wewe. Anakupenda pia lakini kuna bomu bora amekustua bila kujijua anafanya nini.
Ila kama baharia yupo vizuri kiuchumi una mtihani mgumu sana. Unaweza kumdadisi akakutonya ukiona ni mle mle wahi bomani na pete zenu.
Najua hakina mchongo ila siyo busara kuchukuana katika njia isiyo rasmi[emoji445] cheti cha ndoa hakina mchongo hapa mjini[emoji444][emoji444]
Sent using Jamii Forums mobile app
ASIWAZE
Tatizo lipo hapa nitaendaje kwa mwanaume kimya kimya pasipo wazazi kujua? Alafu wazazi wake waje kutoa taarifa kwetuNi baraka kwa wazazi kwa binti yao kumpata ampendae , ishi nae kwa raha zako ,mambo mengine baadae . Weka imani pembeni ,funga ndoa wilayani ,mambo yasonge mbele .
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Kaka, mimi ni Binti wa miaka 28, sijaolewa ila nina mchumba wangu. Huyu Kaka nilikaa naye kwenye mahusiano kwa miaka mittano. Lakini alianza kubadilika ghafla mpaka akampa mwanamke mwingine ujauzito wakawa wanaishi naye. Alishanitambulisha mpaka kwao lakini baada ya kumpa huyo dada ujauzito aliniambia kuwa wazazi wake hawanitaki kwakua hawana uhakika kama nina kizazi au la hivyo wamemuambia kuwa amuoe huyo mwanamke mwingine.Asante mkuu mimi nimekuwa na huo msimamo sasa ameamua kuniacha kisa tu sijakubali kuolewa kimyakimya pasipo kuwapa taarifa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nimemwambia ila anataka kwanza nikae kwake ili wazee wake watakapo kwenda waseme kuwa tayari nimeshaolewaMwambie akajitambulishe nyumbani au atume wazee.
Na atoe mahari, ndoa mtafunga siku nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app