Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla ya kushauri ni vema nikajua miaka yenu kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiendelea kumfuata
Atakujaza halafu akutelekeze

Husiseme sikuambiwa baadae
 
Asipoichukua hii point na kuifanyia kazi basi yajayo yatamfurahisha
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuvaa suti kidume mtoto ndani ya shela kuna raha yake.
Hapa unapata baraka zote za wazazi na pia ndoa yenu inakuwa ina nguvu fulani,
Ila pia unawaheshimisha wazazi wako
na kujivunia kuwa na wewe.

Ila hii sogea tukae haijakaa sawa kabsa.
Inashusha thamani ya ndoa na wanandoa pia.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umechana mulemule, huyo jamaa anataka kuchakata mtambo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo huyo mwanaume hayupo serious anakutafutia sababu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…