Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

Mbona unakopi kwa idd makengo??[emoji849][emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafunga ndoa baada ya miezi 7 mnatengana,ndio raha unayoisemea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja amchakaze akili ikae Sawa.
Huyo bwana na familia yake kuna jambo ambalo wanalificha. Wanataka bidada ajipeleke kwao ili hata siri ikija kufichuka: tayari bidada amezama +mimba au watoto; so asiwe na option ya kutoka.

In short kwa bwana huyo ndoa hakuna; bidada akiamua kujipeleka ajipeleke tu; ila asije akaishia kupata kichaa cha ndoa kwa kumuuliza bwana ni lini wataenda kujitambulisha. Hapo soon atapewa na sharti la kubeba mimba ili ndo wakajitambulishe vizuri; akija kushtuka tayari watoto wawili/watatu; bwana hana mpango wa kujitambulisha; kutoka hawezi, kukaa anaona hapaeleweki. Kichaa cha ndoa hiki hapa
 
Nenda mkaishi mwambie akatoe kishika uchumba kinatosha sana,
 
Au ana wasiwasi wazazi wake hawatakukubali?[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Ndugu wa mwanaume wapo pamoja na kijana wao; amchukue tu mdada kimya kimya kwanza. Mabwaku....
Hili ni kweli ndugu zake wanashauri nikubali kuolewa bila kufuata utaratibu hata kama wazazi wangu watasononeka sitarudi tena kwetu kwa sababu nitakuwa tayari nimeshaolewa
Hili jambo halikuniingia akilini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…