Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Na me niliguna huku. Wanaume wasio na nia ya ndoa wana masharti hao khaaEti anakupenda kwa dhati[emoji849][emoji849]
Huyu inaonekana anahitaji harusi mkuuMwambie akajitambulishe nyumbani au atume wazee.
Na atoe mahari, ndoa mtafunga siku nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja amchakaze akili ikae Sawa.Na me niliguna huku. Wanaume wasio na nia ya ndoa wana masharti hao khaa
Wewe nawe ulikuwa unaolewa au alikuwa anataka akuzinishe mpaka atakaposhiba asepe! Bado tu hujaelewa?Asante mkuu mimi nimekuwa na huo msimamo sasa ameamua kuniacha kisa tu sijakubali kuolewa kimyakimya pasipo kuwapa taarifa nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app
Akijibu nitag maana haeleweki huko kwa wakwe zake walitaka kufungishwa ndoa sijaelewa na mimiWewe nawe ulikuwa unaolewa au alikuwa anataka akuzinishe mpaka atakaposhiba asepe! Bado tu hujaelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unakopi kwa idd makengo??[emoji849][emoji849]Habari Kaka, mimi ni Binti wa miaka 28, sijaolewa ila nina mchumba wangu. Huyu Kaka nilikaa naye kwenye mahusiano kwa miaka mittano. Lakini alianza kubadilika ghafla mpaka akampa mwanamke mwingine ujauzito wakawa wanaishi naye. Alishanitambulisha mpaka kwao lakini baada ya kumpa huyo dada ujauzito aliniambia kuwa wazazi wake hawanitaki kwakua hawana uhakika kama nina kizazi au la hivyo wamemuambia kuwa amuoe huyo mwanamke mwingine.
Nilimuambia nimbebe mimba yake akagoma na kuniambia tuendelee kuwa marafiki tu lakini suala la ndoa haliwezekanai. Niliumia sana akawa anakuja kwangu ila anaishi kwa ule mwanamke mpaka alipojifungua. Baada ya kuanza kukusoma niliona kama ananipotezea muda hivyo niliamua kuchana naye. kuna Kaka alikua ananitongoza nikaamua kumkubalia na tukaanza mahusiano, huyo Kaka alikua siriasi kwani baada ya miezi minne tu alikuja kujitambulisha kwetu, akatoa mahari na mipango ya ndoa ilianza.
Baada ya kuona kuwa naolewa X wangu alinitafuta, aliomba tuonane na mimi kwakukua nilikua na mtu wangu basi nilikubali. Huko alianza kunielezea matatizo na mwanamke wake, aliniambia kwanza ni mchafu, mchotyo, hapendi ndugu zake na anafikiria kumuacha kwani Mama yake hamtaki tena anatamania angenioa mimi. Tuliongea mengi sana lakini sikumsikiliza, ila alianza kuomba msamaha, akawa anatuma mpaka na rafiki zake.
Kwakua ni mtu ambaye nilikua nampenda nilijikuta kuwa narudi wkake, nikajikuta sina hamu tena na mchumba wangu na mwisho nikaamua kumuambia mchumba wangu mpya kuwa tuliharakisha lakini mimi simpendi hivyo nataka tuachane. Alilia sana akaumia kw2ani alidai nimemuaibisha kwao kwakua kila kitu kilishaandaliwa ila sikua na namna, niliona hakuna haja ya kuingia kwenye ndoa na mwanaume ambaye simpendi wakati mtu ninayempenda amerudi.
Ndugu zangu walinisihi sana nisimuache lakini nilishafanya maamuzi. Sababu ya kuja kwako Kaka ni hivi, baada ya kuchana na mchumba wangu huyu mwanaume alinishawishi kubeba mimba yake ili iwe rtahisi yeye kunitambulisha kwa wazazi wake kwani hawawezi kunikubali kama hawajui kuwa nazaa. Nilibeba mimba yake kweli na sasa hivi nina ujauzito wa miezi nane ila kuna mambo yamebadilika Kaka naomba unisaidie kwani nimechanganyikiwa.
Kwanza bado anaishi na X wake, mwanzo aliniambia kuwa wanaishi pamoja kwasababu ya mtoto ila yeye hana mapenzi naye kwani hata tendo la ndoa hawafanyi. Lakini Kaka mimi mimba yangu ina miezi nane nimechunguza nimegundua kuwa kumbe hata huyo mwanamke naye ana mimba ya mtoto wa pili. Kumbuka aliniambia wanalea tu mtoto, sasa Kaka namuuliza kwanini amempa ujauzito ananiambia ilikua ni bahati mbaya.
Anadai kuna siku alirudi nyumbani kalewa ndiyo mwanamke akammbaka na kumlazimisha kufanya naye mapenzi lakini yeye hamtaki. Tuligombana sana nikamuambia kuwa amuache huyo mwanamke, basi siku iliyofuata alichukua vitu vyake kwa huyo mwanamke na kuhamia kwangu. Aliniambia kuwa kaamua kumuacha mwanamke wake, lakini Kaka sio hivyo nimechunguza nimegundua kuwa kule kwa yule mwanamke kamuaga kuwa anasafiri kikazi na wala hajamuambia kuhusu mimi.
Nimemuambia si nina mimba basi anipeleke kwao kunitambulisha ananizungusha ananiambia kuwa Mama yake sasa hivi ana presha kwahiyo tutamchanganya tusubiri mpaka apone ndiyo anipeleke. Kaka naomba nisaidie, mwanuame kaja anaishi kwangu, ana kazi nzuri lakini hatoi chochote, kila kitu nahudumia mimi, yaani hata umeme ukikatika hawezi kununua. Kifurushi cha Azam kikiisha basi kama kuna mpira atanunua cha wiki nisiponunua ila ndiyo basi, naomba nisaidie kuna mapenzi kweli hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Au ana wasiwasi wazazi wake hawatakukubali?[emoji848]Hilo nimemwambia ila anataka kwanza nikae kwake ili wazee wake watakapo kwenda waseme kuwa tayari nimeshaolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnafunga ndoa baada ya miezi 7 mnatengana,ndio raha unayoisemea?Kuvaa suti kidume mtoto ndani ya shela kuna raha yake.
Hapa unapata baraka zote za wazazi na pia ndoa yenu inakuwa ina nguvu fulani,
Ila pia unawaheshimisha wazazi wako
na kujivunia kuwa na wewe.
Ila hii sogea tukae haijakaa sawa kabsa.
Inashusha thamani ya ndoa na wanandoa pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo bwana na familia yake kuna jambo ambalo wanalificha. Wanataka bidada ajipeleke kwao ili hata siri ikija kufichuka: tayari bidada amezama +mimba au watoto; so asiwe na option ya kutoka.Ngoja amchakaze akili ikae Sawa.
Nami nimehisi: kama hana mke mwingine basi ana ex wife ambaye kuna some complications kati yaoAchana nae hakupendi huyo mwizi. Kama anakupenda atakwenda kwenu kujitambulisha, au ana mke/ndoa nyingine? kuwa makini.
Nia alikuwa nayo ila alikuwa anadai kufuata taratibu itachukua muda mrefuWewe nawe ulikuwa unaolewa au alikuwa anataka akuzinishe mpaka atakaposhiba asepe! Bado tu hujaelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo harusi tu mkuu hata angetuma wazee kwetu wakatoa mahari sina shida
Nenda mkaishi mwambie akatoe kishika uchumba kinatosha sana,Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!
Kwa upande wangu nimejaribu kumueleza kuwa siyo jambo la busara mimi kufanya hivyo nahofia wazazi wangu kusononeka (nitakosa baraka za wazazi)
Nimejaribu kumweleza tutambulishane rasmi tufunge ndoa simple tu isiyokuwa na shamrashamra ila amekuwa mgumu kuelewa.
Ameamua kuniacha kisa nimekataa kuolewa kimyakimya pasipo kuwaeleza wazazi kuwa nimepata mchumba.
Bado nampenda sana nifanyeje ili tuweze kufikia suluhu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazazi wake hawana shida wanatamani kijana wao aoe ila tu yeye hataki kufuata utaratibu
Hapana. Ndugu wa mwanaume wapo pamoja na kijana wao; amchukue tu mdada kimya kimya kwanza. Mabwaku....
Hili ni kweli ndugu zake wanashauri nikubali kuolewa bila kufuata utaratibu hata kama wazazi wangu watasononeka sitarudi tena kwetu kwa sababu nitakuwa tayari nimeshaolewa
Hili jambo halikuniingia akilini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kishika uchumba kinatolewa kabla hatujaishi au?Nenda mkaishi mwambie akatoe kishika uchumba kinatosha sana,
Bora wewe uliyetanguliza mahari manake ulijitambulisha ukweni. Kuliko nijitangulize kwa mume alafu baada ya wiki wazazi wake waje kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani si huwa mnagegedana? Niambie ruhusa uliitoa wapi?
Sawa mkuu nitalifanyia kaziNilikuwa nimeshakaa naye kwa miezi 12 ,acha kushupaza shingo,itakugarimu,baadae,achana na maisha ya kwenye luninga,you have to act,
Sent using Jamii Forums mobile app