Moro town mojaaaπ₯²π jina linaanza na J kutoka mkoa unaoanza na M
Sawa mkuu.Karma is a bitch! Bado una mengi sana ya kulipa kutembea na dada wa watu na kuwaacha.
Hakika.Acha maisha yaendelee
Hamna π€π€π€π€π€£π€£π€£π€£π€£Mpambe nuksi
Ni kweli nadhani kuna mahali nilikosea.Hayo ni makosa makubwa sana kwa mwanaume mkuu.
Pole sana [emoji28]
Ni vzr sanaUnachosema ni kweli kabisa mkuu.
Na mimi nathubutu kujiambia, "ni ngumu lakini nitajaribu".
Labda ndio nalipwa kwa mapito yangu mkuu. Only God knows.sasa ilikuwaje
unajuwa ulikuwa legend, au ndo yale malipo ni hapa hapa duniani, unatumiaje moyo kwenye mapenzi
Pengine hapo ndio mahali nilikosea mkuu..Hapo kwenye kumueleza historia yako yote kamanda uliuza ramani ya vita, uenda yeye alikuelezea historia yake feki/alikuuzia ramani feki ukajaa
Ogopa sana kua kwenye mahusiano na mwanamke mwenye rafiki yake anaemsikiliza kwa kila kitu, mda wowote anachana mkeka
Yaani hapo badooo mmmmhππ mpaka useme
Mbona bado ajasema π€π€πππYaani hapo badooo mmmmh
Utapata mwingine na kusahau tena huenda akarudi huyohuyo,mimi imewahi kunitokea nikaumia sana!Baadae alirudi kama vile sio yeye!Wakati mwingine ni mapepo tuu.Acha tu mkuu.
"""sio muda akili itamkaa sawa na akirudi piga chini usimkubali."""Achana naye kuna mtu anamdanganya saivi....sio muda akili itamkaa sawa na akirudi piga chini usimkubali.
Na ndo huyu aliyenifanyia ushenzi wote huu...Pamoja na ww kumfikisha kileleni foo ze festi taimu lkn bado[emoji23]View attachment 2769650
U bachelor jau sana ..Nina same story Kama wewe......yanii sometimes Bora uishi mwenyewe TU wanawake hawaeleweki....unajikutw unakumbuka maisha yako ya uBachelor more than ukiwa na demu Ni stress sanaa
tafuta backup mzeeLabda ndio nalipwa kwa mapito yangu mkuu. Only God knows.
Nashukuru kwa ushauri huu mkuu.Achana naye kuna mtu anamdanganya saivi....sio muda akili itamkaa sawa na akirudi piga chini usimkubali.