Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

Hapo kwenye kumueleza historia yako yote kamanda uliuza ramani ya vita, uenda yeye alikuelezea historia yake feki/alikuuzia ramani feki ukajaa

Ogopa sana kua kwenye mahusiano na mwanamke mwenye rafiki yake anaemsikiliza kwa kila kitu, mda wowote anachana mkeka
Pengine hapo ndio mahali nilikosea mkuu..
 
Pamoja na ww kumfikisha kileleni foo ze festi taimu lkn bado[emoji23]
Screenshot_2023-10-02-17-36-53-781_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
 
Nina same story Kama wewe......yanii sometimes Bora uishi mwenyewe TU wanawake hawaeleweki....unajikutw unakumbuka maisha yako ya uBachelor more than ukiwa na demu Ni stress sanaa
U bachelor jau sana ..
🤓🤓🤓😂😂🙌🙌
 
Back
Top Bottom