Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

[emoji28][emoji28]
 
Hypergamy is a ruthless bitch!

Na sasahivi demu anakazwa kweli kweli huko. Mwamba akirudi anakuta imetanuka na ufundi umeongezeka.
Shit happens kwenye mahusiano,kama kwenye siasa na uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano. Mtu unaweza kuachwa wakati ulidhani unapendwa kumbe jimbo limekuchoka halafu kuna mgombea wa upinzani ni πŸ”₯πŸ”₯. Mapenzi ya mwanamke yakihama hata utumie pesa ili kumbakisha ni kazi bure .
 
Kwa haraka haraka Mhaya unaamua tuu kumpoteza dogo πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Kila kitu unaelewa wewe
Hapo dawa ni Puchu tu mkuu... Ukipaka zako na Mkongo mbona mambo swadakta kabisa... Wanawake unawasahau, unabaki na Sweetheart Sabuni anakuliwaza
 
[emoji3][emoji3]
 
Hapo dawa ni Puchu tu mkuu... Ukipaka zako na Mkongo mbona mambo swadakta kabisa... Wanawake unawasahau, unabaki na Sweetheart Sabuni anakuliwaza
Mhaya kuna sehemu una toa comment clear kabisa...
Ila huku huwa unakula nini mkuu πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
 

Kit*mbi umekutwa na jambo
 

Mkuu kua serious basi yani kugongewa sio sababu ya kutopeleka barua?[emoji23]
 
Mhaya kuna sehemu una toa comment clear kabisa...
Ila huku huwa unakula nini mkuu πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“
Ofisaa mtu lazima umwambie ukweli bila kumficha ficha... Yeye mwenyewe anakwambia wanawake wanamtesa, alafu tena umshahuri arudi kwao hao hao wanaomtesa?

Hapo kwa akili nzuri lazima umpatie ushahuri murua kabisa ambao mbadala wa wanawake... Hapo ni Sabuni tu huo ndio mbadala wa wanawake, upewe stress, uombwi tuma na ya kutolea, Sabuni haoni wivu kwa sabuni mwenzake, leo unaweza kutumia Dettol, Kesho B29, kesho kutwa Gwanji, mtondogoo Sabuni ya maji, au sabuni ya Unga na bado wakapendana na wakakaa kabati moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…