Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
-
- #441
[emoji28][emoji28]Dhambi gani? Nipe reference...
Je kati ya kununua malaya na kupiga Puchu hipi hapo ni dhambi? Kwanza kwa malaya unaweza kubeba magonjwa UTI, fungus, na magonjwa mengine makali.
Ukipiga Puchu kwa sababu kwanza unasafisha mashine vizuri, kwa sababu sabuni ni kitakatishaji... Hakuna magonjwa ya kiboya, pia unajipimia size ya shimo [emoji23] upewe nini kingine wewe Mack Muga
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Hypergamy is a ruthless bitch!
Na sasahivi demu anakazwa kweli kweli huko. Mwamba akirudi anakuta imetanuka na ufundi umeongezeka.
Pokea, ongea nae, mjulishe kila kitu, mweleze, no matter what!Anajichekelesha tu mkuu..
Asubuhi hii kapiga tena ila sijapokea coz nipo Mahakamani
[emoji28][emoji28]Ulikua unawaambia maex zako kuhusu mahusiano yako ili iweje ona sasa wamemloga dada wa watu anakuona mbuzi .......
[emoji23][emoji23]Nipe mstari unaosema husipige Puchu.
Umalaya na Ufusika ndio dhambi....
Mkono wangu sio dhambi, tena ukipiga Puchu paka na Mkongo hili mambo yawe sawa
Let me try..Pokea, ongea nae, mjulishe kila kitu, mweleze, no matter what!
Shit happens kwenye mahusiano,kama kwenye siasa na uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano. Mtu unaweza kuachwa wakati ulidhani unapendwa kumbe jimbo limekuchoka halafu kuna mgombea wa upinzani ni π₯π₯. Mapenzi ya mwanamke yakihama hata utumie pesa ili kumbakisha ni kazi bure .Hypergamy is a ruthless bitch!
Na sasahivi demu anakazwa kweli kweli huko. Mwamba akirudi anakuta imetanuka na ufundi umeongezeka.
Hapo dawa ni Puchu tu mkuu... Ukipaka zako na Mkongo mbona mambo swadakta kabisa... Wanawake unawasahau, unabaki na Sweetheart Sabuni anakuliwazaKwa haraka haraka Mhaya unaamua tuu kumpoteza dogo π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€
Kila kitu unaelewa wewe
[emoji3][emoji3]Shit happens kwenye mahusiano,kama kwenye siasa na uchaguzi wa kila baada ya miaka mitano. Mtu unaweza kuachwa wakati ulidhani unapendwa kumbe jimbo limekuchoka halafu kuna mgombea wa upinzani ni [emoji91][emoji91]. Mapenzi ya mwanamke yakihama hata utumie pesa ili kumbakisha ni kazi bure .
Usije ukakosa mke mwema ukaishia kupata kichomiLet me try..
Karibu sanaHivi nawe mwalimu!!!
Hahaa akili za kukopa ndio zikoje hizoHamna cha moto wala nini, walimu wa UPE ni low thinking huwa hawajielewi hata. Its too risky ku deal na mtu ambaye hana msimamo na mwenye akili za kukopa. π€£
Mhaya kuna sehemu una toa comment clear kabisa...Hapo dawa ni Puchu tu mkuu... Ukipaka zako na Mkongo mbona mambo swadakta kabisa... Wanawake unawasahau, unabaki na Sweetheart Sabuni anakuliwaza
Kabisa mkuu.Usije ukakosa mke mwema ukaishia kupata kichomi
Maisha ni lazima yaendelee.
Nakiri kwamba nilikuwa malaya sana zamani lakini nikaamua kubadilika baada ya kugundua kwamba mahusiano mengi kwa wakati mmoja yanapoteza muda, rasilimali fedha, yanadhoofisha mwili, akili n.k.
Nimekuwa kwenye mahusiano serious kwa takribani mwaka na nusu na Mwl mmoja wa Shule ya msingi. Mpole, msikivu, mcha Mungu, mnyenyekevu, sio mbinafsi, mshauri mzuri na zaidi ya yote amekuwa mfano bora wa mama wa familia. Nikaamua kumpenda kwa dhati. Nikawaambia hadi ma-x wangu. Nikawa najiachia nae, nikamtambulisha kwa baadhi ya wana.
Nikakaa kitako na Baba nipeleke barua ya posa, binti akaridhia. Barua ikaandikwa, mwanangu mmoja ambaye ameshaoa akakubali kuwa mshenga. Barua ilikuwa ipelekwe tangu j5 ya wiki iliyopita ila nikapata dharura tukaahirisha. Ilikuwa baada ya kupeleka posa ndio nikamtambulishe home.
J'mosi ya juzi akaanza kubadilika kuanzia kwenye mawasiliano na kila kitu. Jana nampigia simu aniambie barua tupeleke lini, akashtuka kama hajui kinachoendelea! Akajibu nisubiri kwanza, mara anaomba tupeane muda kuna mambo ajiridhishe!
Nikajiongeza, nikamwambia muda siwezi kumpa kwasababu tulishalizungumza hili. Aseme tu kama anadhani hatuwezi kuwa pamoja tena nitamuelewa. Akasisitiza nimpe muda! Nikamjaribu kwa kumwambia tuachane ili tusipotezeane muda (kumbuka hapa nilikuwa namjaribu); ili nione anawaza nini.
Lahaulaa, akasema 'SAWA'. Nikaishiwa nguvu. Nilikuwa barabarani nikasimama kwanza kwasababu nilipatwa na wenge nikahisi naweza kusababisha ajali.
Ina maana ile kupenana muda ilikuwa ni gia tu, alishaamua tuachane. Sikumtafuta tena tangu jana na yeye kakaa kimya mpaka muda huu!
Huyu ni msichana aliyeniaminisha kwamba hawezi kuniacha. Kwamba hata nikijaribu kumuacha atafanya jambo baya (ni kama alikuwa anatishia kujiua).
LAWAMA ZANGU ZOTE NAZIELEKEZA KWA RAFIKI YAKE MWENYE JINA LINALOANZA NA HERUFI 'J', ANAYEISHI MKOA UNAOANZA NA HERUFI 'M'. Mpenzi wangu alikuwa anamsikiliza sana, na mara nyingi wamekuwa wakiniongelea, nina kila sababu ya kuamini kwamba ushauri wake umechangia kumfanya mwanamke wangu afikie uamuzi huu. Huyu dada yeye kaolewa, leo kaamua kumfanyia figisu rafiki yake! We dada wewee....
Biblia imesema tushukuru kwa kila jambo. Pengine kuna jambo Mungu ameniepusha nalo. Naumia ila najikaza.
[emoji23][emoji23]Kit*mbi umekutwa na jambo
Yaani jumamosi hadi leo jumanne unasema umeachwa. Kwa taarifa yako kuachana sio rahisi kama unavyodhani. Kuachana na demu ni mchakato unaweza kuchukua zaidi ya mwaka au zaidi. Wewe umepumzishwa tu kuachana sijapaona bado. Kwanza hakuna sababu yoyote ya kuachana hapo sema tu unagongewa ambayo sio issue ya kusababisha usipeleke barua. Unagongewa na unaoa hivyo hivyo mambo yatajirekebisha mbele kwa mbele
Ofisaa mtu lazima umwambie ukweli bila kumficha ficha... Yeye mwenyewe anakwambia wanawake wanamtesa, alafu tena umshahuri arudi kwao hao hao wanaomtesa?Mhaya kuna sehemu una toa comment clear kabisa...
Ila huku huwa unakula nini mkuu π€π€π€π€π€π€π€
[emoji23][emoji23]Mkuu kua serious basi yani kugongewa sio sababu ya kutopeleka barua?[emoji23]