Nimeachwa na nimekubali, ingawa naumia moyoni

[emoji23][emoji23]
 
Mii hapa sina neno maana kwa jinsi ulivyo kamia hii ishu ya puchu duuuh
🙏🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂
Na wewe inaelekea ni mzoefu sana mbona unajua sabuni zote hizo 😂😂😂 vijana hovyo sana humu ndani
 
Pole sana aisee,nimeumia[emoji2958]
 
Watu tuweka order kabisa ya Sabuni, kwa nini hujipe stress kama mwanetu hapo juu analalamika kupewa Kibuti wakati kuna Sabuni.

Hata wewe nikushauri husikubali uteswe na wanawake wakati Sabuni ya Gwanji hipo
 
Watu tuweka order kabisa ya Sabuni, kwa nini hujipe stress kama mwanetu hapo juu analalamika kupewa Kibuti wakati kuna Sabuni.

Hata wewe nikushauri husikubali uteswe na wanawake wakati Sabuni ya Gwanji hipo
🤓🤓🤓🤓🤓🤓✍️✍️✍️✍️ Ctrl+C
Copy that.. ila mii nimeachana na hayo mambo mdaa sana
 
Hata mimi nimewaza kwamba huenda kuna jambo baya lilikuwa mbele yangu. Nashukuru mkuu.
Tatizo ulisema kuna Dada alikuelewa na hutaki kumtongoza na alimkataa jamaa yako mwenye maneno mengi mengi[emoji23][emoji23][emoji23]labda alisoma kauzi kako na ID yako humu ana imanya[emoji23]pole brother inauma ila inabidi calendar isogee na maisha yaendelee.
 
Hahaa akili za kukopa ndio zikoje hizo
1. Shogaangu yule mkaka Kevi kantongoza nimkubalie au nisimkubalie, sema ana hela huyo.

2.Mudi anataka nimzalie halafu ataninunulia Kiwanja bunju shostito we unaonaje nimzalie au?

3. Amicus si anaenda kuntolea posa upo nyonyo, sa na yule Alex itakuwaje jamani au yupi nimkatae shoga?

Ukiona katika maisha yako unapitia scenario za namna hio jua wewe akili zako ni za kukopa. Maamuzi hayatoki ndani kwako hadi umshirikishe na mtu wa tatu.
 
ondoa sifa ya usikivu kwake coz msikivu hawez kuyumbishwa na external factors.
 
Dah hio mbaya sana kufanywa rebound. Kule mambo yakitengemaa unaachwa kama utani vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…