Daz911
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 742
- 1,238
mji kasoro bahari, nna mpango wa kuja kihondo, nipokee mkuuMoro town mojaaa🥲
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mji kasoro bahari, nna mpango wa kuja kihondo, nipokee mkuuMoro town mojaaa🥲
🤣🤣Poor brain bhanaHamna 🤓🤓🤓🤓
Ni vilee nataka wakubane wewe mpaka useme
Nashukuru sana mkuu kwa kunitia moyo.Utapata mwingine na kusahau tena huenda akarudi huyohuyo,mimi imewahi kunitokea nikaumia sana!Baadae alirudi kama vile sio yeye!Wakati mwingine ni mapepo tuu.
Pole sana mkuu. Kumbe siko peke yangu..Nina same story Kama wewe......yanii sometimes Bora uishi mwenyewe TU wanawake hawaeleweki....unajikutw unakumbuka maisha yako ya uBachelor more than ukiwa na demu Ni stress sanaa
Ila umejitetea vya kutosha J 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🤣🤣Poor brain bhana
Kweli backup ni muhimu sana.tafuta backup mzee
Wacha watutese,Mungu anawaona!Nashukuru sana mkuu kwa kunitia moyo.
😂😂Ukizaliwa mwanaume kuwa na ujasiri na maamuzi magumu ndo kitu cha kwanza"""sio muda akili itamkaa sawa na akirudi piga chini usimkubali."""
We kuweza 😂😂😂😂😂
Ndio mnaringaga mnaaita wanawake majinA mabovu , hamuwaheshimu ,wala kuwajali eti mashangazi na mtakuwa single hivi hivi wanaume mnatakiwa muwe na staha na mipaka, na muwe makini, kwa kila jamboo sio muwe waongeaji ,tulieni hamzai mnazalisha so kuweni nastara kubwa akili kuliko wanawake zenu . Ila humu wengi mnalaana fulani,mnadharau sana. Mkiachwa ndio mnajirudiAsante mkuu.
Mimi siringi, labda wengine.
Bado ujajibu... wee kuweza 😂😂😂😂😂😂😂😂Ukizaliwa mwanaume kuwa na ujasiri na maamuzi magumu ndo kitu cha kwanza
Thats karma,,kama kuna wakati uliwahi kuumiza mioyo ya wanawake wasiokuwa na hatia. Mungu anakupitisha kwenye tanuli lile lile ili ujue ni namna gani watu wanaumia sababu ya mapenzi.Ndio mnaringaga mnaaita wanawake majinA mabovu , hamuwaheshimu ,wala kuwajali eti mashangazi na mtakuwa single hivi hivi wanaume mnatakiwa muwe na staha na mipaka, na muwe makini, kwa kila jamboo sio muwe waongeaji ,tulieni hamzai mnazalisha so kuweni nastara kubwa akili kuliko wanawake zenu . Ila humu wengi mnalaana fulani,mnadharau sana. Mkiachwa ndio mnajirudi
Ila kwenye mapenzi,ujasiri sawa lakini sijui kuna nini hakuna cha msomi,mjanja,mjuaji,wa mjini,mboga1,mboga7,waziri,yaani ni taaabu na kujilisha upepo!😂😂Ukizaliwa mwanaume kuwa na ujasiri na maamuzi magumu ndo kitu cha kwanza
Pole sanaAisee!!
mimi naweza mkuu😎😎Bado ujajibu... wee kuweza 😂😂😂😂😂😂
daaah mkuu "la juu", unamaana gani? au ndoGari mkuu, tena la juu.
Taabu tupu 😂😂😂😂😂Ila kwenye mapenzi,ujasiri sawa lakini sijui kuna nini hakuna cha msomi,mjanja,mjuaji,wa mjini,mboga1,mboga7,waziri,yaani ni taaabu na kujilisha upepo!
Shida inaanza pale tunapoacha kutumia akili halafu tunatumia hisia kuishi na wanawake lazima uwe defeated tuIla kwenye mapenzi,ujasiri sawa lakini sijui kuna nini hakuna cha msomi,mjanja,mjuaji,wa mjini,mboga1,mboga7,waziri,yaani ni taaabu na kujilisha upepo!
kuna level ukifika hayo mambo hayatakushuhurisha tena.Umeona alichoandika Kimwakaleli
😂😂😂