Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela mkuu, hawa viumbe usipompa hela wana matatizo sana.Inaumiza sana. Kwa nini wanawake hawadumu na mimi? Wana matatizo gani lakini? Wanawake wa siku hizi hawafai yaani ukisema tu uutue moyo.... Yeye ameshaliamsha anasonga mbele.
Mimi wa kuachwa kweli? Why? Mimi nampigia demu ananiambia niachane naye na namba yake nifute? Kuna shida kubwa kwa hawa mabinti. Na mimi nawaaambia watanikumbuka.
Mwanaidi, Mwantumu, Asha, Suzan, Irene, Hadija, Kibua, Samia, Chuki na Tatu. Mtanikumbuka nawaambia. Mtanikumbuka sana. Hamtapa mwanaume mwenye mapenzi kama mimi. Wallah nawaambia nyie. Tena mtakuwa machangudoa tu. Hakuna mwanamke decent anamwacha mwanaume.
Tena wewe Tatu hata week tatu hazikufika. Umekula tupesa twangu leo unaniambia niku delete? Nimeumia sana lini nami nitaacha mwanamke? Wanakosea wapi hawa?
Nawe inabidi ujitathimini man usikute kama una kibamia basi hapo ujue kwa wadada wa Bongo umeshawakosa.Mnazini na unaacha laaana impate nani
Kuwa mwanaume kwanza utakaa na mwanamke
Huku kulia lia sana sio kwa kiume
inaitwa aluta continua mkuuYeye ameshaliamsha anasonga mbele