First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
<br />mpendwa mr. creative, <br />
<br />
ulishawahi kusikia majaribu yaliyompata Ayubu? hebu yachukue maisha ya Ayubu kama "template" kisha uchukue maisha yako na uyafit ndani yake kisha utuambie kama kwa hayo yaliyokupata bado una sababu ya kuchanganyikiwa. kama unampenda sana huyo mwenzio, mwambie Yesu na kama ni mapenzi yake atamrudisha kwa wakati wake, la si mapenzi yake, mshukuru Mungu kwa kukupa nafasi nyingine ya kujipanga upya na kukuepusha na lile ambalo wewe kwa akili zako hukuweza kuliona likikujia!<br />
<br />
zaidi sana umshukuru Mungu kwa maisha ya mwenzio na angalu kwa siku alizowajalia kuishi pamoja kwa furaha, kumbuka wako wengi wanaompenda lakini huishia kumtazama tu akipita na hawakuwahi kupata hata fursa ya kuongea naye, sembuse wewe ulipata kibali cha kumuita "mpenzi wangu" naye akaitika?<br />
<br />
siku zote ulibariki jina la Bwana mchana na usiku<br />
<br />
ubarikiwe sana
<br />
we mtata.