Sasa ndugu yngu uliagizaje mzigo bila kuzingatia hivyo vitu?Wakuu nisaidieni namna ya kupunguza kodi tra huko maana kwa kodi hii niliyoletea mawiwili either nipate hasara au niususe mzigo bandarini hapo hapo.
Ombi langu kama kuna njia kusaidia kodi ipungue nitashukuru kwa michango na ushauri wenu.
Pole sana mkuu umeagiza peni china moja inauzwa shilingi kumi ikifika Bongo kodi shilingi mia hapo ndio utajua Bongo nyosoHabari zenu wakuu..
Wakuu nisaidieni namna ya kupunguza kodi tra huko maana kwa kodi hii niliyoletea mawiwili either nipate hasara au niususe mzigo bandarini hapo hapo.
Nafahamu huku JF kuna wataalamu wa haya manbo naombeni msaada wenu
Ombi langu kama kuna njia kusaidia kodi ipungue nitashukuru kwa michango na ushauri wenu.
Asante mkuu ngoja nimtafute.Sasa ndugu yngu uliagizaje mzigo bila kuzingatia hivyo vitu?
Humu kuna mtu anaitwa Mwl.RCT (hope sijakosea.) naamin ukimpata atakusaidia , huyu jamaa ni mtaalamu sana wa masuala hayo , tena ana uzi wake wa biashara hiyo. Ngoja nicheki link niweke.
----------
Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaante sana.Ndiyo kuna namna unayoweza fanikisha kupunguziwa kodi kama unahisi kodi unayochajiwa si sahihi.
Kwanza unatakiwa uandike malalamiko yako na kuyatuma ndani ya siku 30(kwanzia siku uliyofanyiwa makadirio ya kodi).
Ila hakikisha ile kodi unayohisi ulitakiwa kulipa umeilipa (siyo ile waliyokukadiria)
Wasipo kusikiliza utakata rufaa kupinga kodi unayochajiwa. Wasipokusikiliza utasonga mbele hadi mwisho wa siku Mtaenda hadi mahakamani.
Na court of appeal ndiyo maamuzi ya mwisho yatatolewa.
Ukitaka namna na mahali pakuanzia niambie.
Ila kama unahisi ni kodi sahihi wewe lipa tuu . Hata kama ni kubwa.
USHAURI.
Kabla haujaagiza kitu nje ya nchi, fanya research ujue kabisa utaki import kwa gharama gani. Tena hususani kwa bidhaa ambazo zina patikana Tanzania (zinazalishwa Tanzania pia). Maana ukiziingiza kwa bei ndogo viwanda vyetu vitakufa.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Wewe wewe wewe heeeeeeeeeeeNdiyo kuna namna unayoweza fanikisha kupunguziwa kodi kama unahisi kodi unayochajiwa si sahihi.
Kwanza unatakiwa uandike malalamiko yako na kuyatuma ndani ya siku 30(kwanzia siku uliyofanyiwa makadirio ya kodi).
Ila hakikisha ile kodi unayohisi ulitakiwa kulipa umeilipa (siyo ile waliyokukadiria)
Wasipo kusikiliza utakata rufaa kupinga kodi unayochajiwa. Wasipokusikiliza utasonga mbele hadi mwisho wa siku Mtaenda hadi mahakamani.
Na court of appeal ndiyo maamuzi ya mwisho yatatolewa.
Ukitaka namna na mahali pakuanzia niambie.
Ila kama unahisi ni kodi sahihi wewe lipa tuu . Hata kama ni kubwa.
USHAURI.
Kabla haujaagiza kitu nje ya nchi, fanya research ujue kabisa utaki import kwa gharama gani. Tena hususani kwa bidhaa ambazo zina patikana Tanzania (zinazalishwa Tanzania pia). Maana ukiziingiza kwa bei ndogo viwanda vyetu vitakufa.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Najua nina kesi ya kupotea ghafla.
Asante je kuna ofisi maalum hapo tra inayodeal na hizi bargain za kodi, walikupunguzia tsh. Ngapi.Yes unaweza kupatiwa punguzo la kodi ya mzigo wako.
Juzi nimenunua iPhone 7 toka Antlanta USA custom wakanibambikia kodi almost laki na ishirini.
Nilifanikiwa kufanya bargain wakanipunguzia kidogo
Hizi kodi si rafiki kabisa jitahidi kuongea mao vizuri
Tena kesi yenyewe ipo ICC Fanya hima c*Najua nina kesi ya kupotea ghafla.
Nakuja pm.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Mambo? Cute.Ndiyo kuna namna unayoweza fanikisha kupunguziwa kodi kama unahisi kodi unayochajiwa si sahihi.
Kwanza unatakiwa uandike malalamiko yako na kuyatuma ndani ya siku 30(kwanzia siku uliyofanyiwa makadirio ya kodi).
Ila hakikisha ile kodi unayohisi ulitakiwa kulipa umeilipa (siyo ile waliyokukadiria)
Wasipo kusikiliza utakata rufaa kupinga kodi unayochajiwa. Wasipokusikiliza utasonga mbele hadi mwisho wa siku Mtaenda hadi mahakamani.
Na court of appeal ndiyo maamuzi ya mwisho yatatolewa.
Ukitaka namna na mahali pakuanzia niambie.
Ila kama unahisi ni kodi sahihi wewe lipa tuu . Hata kama ni kubwa.
USHAURI.
Kabla haujaagiza kitu nje ya nchi, fanya research ujue kabisa utaki import kwa gharama gani. Tena hususani kwa bidhaa ambazo zina patikana Tanzania (zinazalishwa Tanzania pia). Maana ukiziingiza kwa bei ndogo viwanda vyetu vitakufa.
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.