Nimeagiza mzigo wangu wa kwanza China kodi niliyokadiliwa na TRA ni kubwa mno je nawezaje kuomba kupunguziwa wakuu nishaurini nimechanganyikiwa

Sijawahi kulipa kodi. One third sio robo tatu ni theluthi whether it's 30 or 33% SIO ROBO TATU. Robo tatu ni 75%
Basi tambua ukiwa na malalamiko ya kodi kabla ya kupeleka utatakiwa ulipie 30% ya makadirio ulowekewa!..
 
Basi tambua ukiwa na malalamiko ya kodi kabla ya kupeleka utatakiwa ulipie 30% ya makadirio ulowekewa!..
Ok. Kwahio ukikadiriwa 10m inabidi ulipe 3m ndio upeleke malalamiko?
 
Mwongozo ulioenda shule,ashindwe yeye sasa,kongole zako nyingi mkuu [emoji109]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…