Nimealikwa kwenye harusi ya Hamisa Mobetto na Aziz Ki. Are you invited?

Nimealikwa kwenye harusi ya Hamisa Mobetto na Aziz Ki. Are you invited?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.

Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.

Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂

ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂

PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
 
Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.

Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.

Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂

ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂

PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Oya nipe kadi na mie nikamshangae huyo mobeto...sijawahi muona live
 
Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.

Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.

Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂

ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂

PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Acha waowane akipewa talaka ndio Mondi ataruhusiwa kumuoa tena. Si ndio dini yetu inavyosema?
 
Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.

Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.

Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂

ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂

PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Wanawake siku hizi unaalikwa ukaolewe nawe unakuja ku post huku. Anyway kama mmekubaliana na Mwolewaji kaolewe pia.
 
Back
Top Bottom