Nimealikwa kwenye harusi ya Hamisa Mobetto na Aziz Ki. Are you invited?

Nimealikwa kwenye harusi ya Hamisa Mobetto na Aziz Ki. Are you invited?

Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.

Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.

Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂

ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂

PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Sijaalikwa kaka...cha kufanya utupe live updates kule celebrities...shemeji tunae na tuna tamba nae....
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.

Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.

Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂

ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂

PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Nipo na Aziz ki hapa tunacheka tu!
 
Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.

Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.

Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂

ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂

PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Uzuri tunamuoa shabiki mwenzenu wa Simba kwa lengo kuendelea kudumisha udugu wetu. Mimi sitahaudhuria kwa sababu nitakuwa Afghanstan kumtafuta ex wangu faixafoxy.
 
Ni matumaini yangu Azizi Ki mali zake ameziandikisha kwa majina ya mama ake
 
Back
Top Bottom