Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Harusi ni lini?
Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.
Yanga ni wachezaji na viongozi kama hajaalikwa maana yake hawamjuiKwani hiyo ni harusi ya Yanga
Sijaalikwa kaka...cha kufanya utupe live updates kule celebrities...shemeji tunae na tuna tamba nae....Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.
Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.
Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂
ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂
PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Usitake kunambia kadi ya mwaliko ni kadi ya uanachamaKwani hiyo ni harusi ya Yanga
Nipo na Aziz ki hapa tunacheka tu!Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.
Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.
Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂
ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂
PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Uzuri tunamuoa shabiki mwenzenu wa Simba kwa lengo kuendelea kudumisha udugu wetu. Mimi sitahaudhuria kwa sababu nitakuwa Afghanstan kumtafuta ex wangu faixafoxy.Kama mdau mkubwa wa soka Tanzania na mwanafamilia nimepewa na kupokea mwaliko katika harusi ya Hamisa Mobetto na MVP wa NBC Premiere League 2023-24 Stephanie Aziz Ki.
Harusi hii itafanyika ukumbi wa The SuperDome.
Mwaka huu mafanikio yoyote ya mpira pale Uto tusahau ila harusi tunayo 🤣😂
ngara23 changaule Kalpana Tate Mkuu are y'all invited? 🤣😂
PS. Wana Simba hii pia ni harusi yetu. Nimepewa pia majukumu kadha wa kadha kufanikisha shughuli hii, nawaahidi waalikwa na wana ndoa watarajiwa sitawaangusha.
Kwa hiyo wapenzi wote wa Yanga wamealikwa?Yanga ni wachezaji na viongozi kama hajaalikwa maana yake hawamjui
Umefikiri kama mimi..unaweza kukuta hapo ukumbini waalikwa wanaume nusu yao wamepita nae..DaahJamaa anaenda kuoa mke wa watu.
Akuoe wewe?Aziz k anaenda kuoa malaya aliyeshindikana.
Wanaopita na mkeo unawajua?Umefikiri kama mimi..unaweza kukuta hapo ukumbini waalikwa wanaume nusu yao wamepita nae..Daah
Akuoe wewe malaya mwenzakeAkuoe wewe?
Mke wa mtu au mke wa watu?Jamaa anaenda kuoa mke wa watu.
Mke wa nini mimi?Wanaopita na mkeo unawajua?
Inaonekana unaumia mwenzako kuolewa wakati wewe upo tu wahuni wanajipigiaAkuoe wewe malaya mwenzake
Ya mtu mwachie mtuMke wa nini mimi?